dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #181
Kwa kifupi mzee hataki kuzikia hbr za WaislamuLet me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.
NB
Kuna aya kwenye uisalam(Quran) inasema msiwaoe makafiri except km unajukinga wasikudhuru ila ni sharti kuoa walio kwenye Islam kwanza.
So it’s family choice je aolewe kwakua muoaji yupo au aendelee kuzini and kuzaa bila stable family
Na majininpia kutupianaKwamba mkuu shida kwako mke wa pili
Uko sahih snaaBinafsi, si kwa muislamu tu, hata kama ni mkristu mwenzie, kwenda kuishi na mtu mnayetofautiana kiimani ya dini, ni hatari sana. Hili haliwezi onekana huku mwanzoni. Kile kinachofanya kila mtu awe na imani yake, siku kikiibuka ndo watajua joto ya jiwe. Embu fikiria, mkatoliki anayefunga ndoa na hawa wa kipentekoste, huyu mkatoliki atamueleza nini mpentekoste juu ya Bikira maria na akamuelewa? Kwenye IDI tu hawa wa suni na wengine mnaonaga kila mtu antangaza idi yake..!! Fikiria msuni aliyeolewa na muislamu asiye msuni, siku ya idi ya mmoja, huyu anayeendelea kufunga atafungua?
Hpn kwa kweli jichanganyeni kanisa. Huko Bora ubaki hvyo kuliko kuolewa na mwislamu ona jumaa awezo alicho fanya ameo mke wa pili din yakeWalininyima kuolewa nawaislamu saivi nipo tu nashangaaa . Isitoshe sipati mwanaume anayejielewa mpeni aolewe tu sio dhambi ndio maana kapewa .
Wee tulia tii maelekezo ya wazazi wakoWalininyima kuolewa nawaislamu saivi nipo tu nashangaaa . Isitoshe sipati mwanaume anayejielewa mpeni aolewe tu sio dhambi ndio maana kapewa .
Ni haramu kwa Binti wa kiislamu kuolewa na asie muislam, na wanaume wa kiislam tumehalalishiwa kuoa wanawake wote wa kitabu, kwa maana ya wanawake wa kiislamu, wanawake wa kinaswara (Wakristo) na wanawake wa kiyahudi kwa sharti ya wawe wachamungu na watu wenye maadili, na sio lazima sana abadili dini, anaweza olewa na akabaki na dini yake na lau ukamshawishi akabafili dini inakiwa jambo zuri zaidi.Let me tell you brother,vijana wa kikistro kwa Sasa waoaji wachache sana tena mno at the end of a day wadada wanajaa makanisani kwenda omba wapate wanaume,muislam dini inamruhusu kuoa na kumpa Mke talaka lkn wakistro hapawo tyr kuolewa na waisalam.
NB
Kuna aya kwenye uisalam(Quran) inasema msiwaoe makafiri except km unajukinga wasikudhuru ila ni sharti kuoa walio kwenye Islam kwanza.
So it’s family choice je aolewe kwakua muoaji yupo au aendelee kuzini and kuzaa bila stable family