Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

Pole,Imani yetu Kwa mama zetu ni kubwa sana na Kwa heshima tuliyowapa Huwa tuna Imani kuwa wapo sahihi Kwa Kila watuambiacho bila kukumbuka kuwa nao ni binadamu pia,wana mapungufu Yao.
Sahihi kabisa, nao wana mapungufu yao lakini hawawezi kuruhusu kuona watoto wao wanapotea au kuingia katika matatizo
 
Sijamaanisha upuuzie ndo maana nikasema maisha ni ya kwako.

Mapenzi hayanaga mwalimu.
Kweli hayana mwalimu, sijahitaji kufundishwa au kuelekezwa namna ya kuwa na mwenza, ila nahitaji kujua ni sababu gani mpaka mzazi wangu abadili mtizamo wake juu ya binti huyu
 
Unafurahisha kijana,mama ndio anayeoa na kuishi huyo mwanamke au wewe,chagua mwanamke unae weza kuishi nae wewe sio mama yako,mama walichaguana na baba yako.Utapishana na gari la mshahara kwa kutaka kuridhisha watu.Hata mm nilipotaka kuoa mama alipinga mambo ya kabila ila mm ndio naoa sio mama mpaka sasa tuna miaka kumi ya furaha na amani tele na watoto watatu na sijawahi kujuta kumuona mke wangu hata nikirudia ujana nitamtafuta yeye tena nani marafiki sn na mama.
 
Katika makosa usijefanya ni kuishi na familia ambayo mama mwenye nyumba anakuchukia
 
Unafurahisha kijana,mama ndio anayeoa na kuishi huyo mwanamke au wewe,chagua mwanamke unae weza kuishi nae wewe sio mama yako,mama walichaguana na baba yako.
Mama yangu hajanichagulia ila mimi ndyo nilichagua, kwa sasa nimeona hana imani naye na nataka nijue sababu ni nini, bado sijafanya maamuzi na still bado nina nia ya kuishi na mzazi mwenzangu.
 
 
Mda wa kutumia akili zako hiz. Mzazi kamaliza yake. Achana ana habar za wazazi mtu anabadilika. Alafu shika maneno yangu haya. KUISHI NDANI YA NDOA NI KUREKEBISHANA KILA MTU MBOVU MNAREKEBISHANA HATA KUFA KWENU KIPI SAHIHI NA KIPO SIO SAHIHI. HAMNA ALIYE PERFECT.
 
Sina mpango wa ndoa kwa sasa, ila lazima nipate maoni kutoka kwa mzazi wangu
 
Muacheni mtto wa watu, hata ukimuoa wewe na mamako mtamtesa sana!
 
Wewe bado ni mvulana, siku ukiwa mwanaume utaongozwa na kichwa chako na sio mawazo ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…