Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitamsikiliza nijue sababu ni ipiMwanamke anamjua mwanamke mwenzake vizuri. Msikilize mama yako.
Kama humtaki mke wako nenda kalale na mama yako, kua mwanaume kama baba yako naacha kushikiwa akili na mama yakoHabarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
We acha uvulana uwe mwanaume Maana ukiendelea kusema mama hajaridhika na mchumba wako utakuwa msichanaNiwe msichana?
Kwahiyo kama hajaridhika nisiseme?We acha uvulana uwe mwanaume Maana ukiendelea kusema mama hajaridhika na mchumba wako utakuwa msichana
Kama huna experience na mambo ya ndoa kwanini hukumuuliza mama yako kuhusu kumkojolea huyo binti ndani. hebu acha kutuaibisha wanaumeNaelewa majukumu yote ni yangu katika kufanya maamuzi, lakini still bado nahitaji kujifunza na kupata ushauri kuhusu mambo haya kwani mimi bado ni kijana ambaye sina experience na mambo ya Ndoa
Sasa matusi ya nini mkuu, mbona unataka tusemane vibayaKama humtaki mke wako nenda kalale na mama yako, kua mwanaume kama baba yako naacha kushikiwa akili na mama yako
Wewe ndyo unajiaibisha kwa kutukana na kukebehi wazazi wa wenzioKama huna experience na mambo ya ndoa kwanini hukumuuliza mama yako kuhusu kumkojolea huyo binti ndani. hebu acha kutuaibisha wanaume
Kama ulimuamulia mama yako kuolewa au kuzalishwa na baba yako, basi haina shida, mruhusu mama yako akuchagulie mke.Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
SawaKama ulimuamulia mama yako kuolewa au kuzalishwa na baba yako, basi haina shida, mruhusu mama yako akuchagulie mke.
Sijakutukana ila nimekuambia ukweliSasa matusi ya nini mkuu, mbona unataka tusemane vibaya
Sijakutukana ila nimekuambia ukweli mchunguWewe ndyo unajiaibisha kwa kutukana na kukebehi wazazi wa wenzio
Ukweli gani huo mkuu, naona umetoa kejeli tuSijakutukana ila nimekuambia ukweli
Hakuna uchungu wowote, kwanza karibu lunch nipo na familia hapa tunaendeleaSijakutukana ila nimekuambia ukweli mchungu
🤣🤣🤣🤣Toka lini kitanda kikazaa?
Nini kimekufanya uzae nae?Mke anaishi na mimi lakini sio busara kufanya maamuzi bila kupata ushauri kutoka kwa wazazi wangu
Hilo swali sidhani kama lina mantiki yoyote, kwani wewe hujui nini kinafanya watu wazae?Nini kimekufanya uzae nae?
Hili swali linamaana kubwa sema umechukulia wepesi labda kwasababu tunatofautiana kwenye upeo we ni jibu alafu nitapata mwanga ujue kwanini nimekuulizaHilo swali sidhani kama lina mantiki yoyote, kwani wewe hujui nini kinafanya watu wazae?
Kilichofanya nizae nae siwezi kusema ni kitu gani, ila tulikutana na baada ya hapo nikapewa taarifa za ujauzito, nikazipokea na mambo mengine kuendeleaHili swali linamaana kubwa sema umechukulia wepesi labda kwasababu tunatofautiana kwenye upeo we ni jibu alafu nitapata mwanga ujue kwanini nimekuuliza