Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara

Sijaja ila kila siku nipo, ila nimeona nilete hii mada ili nione mawazo ya wengine na kujifunza kitu.
Unataka kujifunza kitu, au upo hapa kupotezea watu muda. Kama ulishaamua kufata mawazo ya mzazi, sikuona haja ya wewe kuleta hii mada hapa. Ni matumizi mabaya ya muda.
 
Angekuwa siô mnafiki angekuwa ameshakuambia na hii Mada Wala usingeileta huku. Mpaka unatafuta namna ya kumuuliza ili akuambie huoni kama wewe ndîo unashida? Kama wewe Huna shida Basi mama yetu ndîo anashida Kwa nini asikuambie mpaka umuulize kama kweli kûna Jambo linalohatarisha usalama wako?

Je hakuamini?
Sijui kwanini haniambii, nikikaa nae nitamuuliza kwanini haniambii na tatizo ni nini.
 
Sijui kwanini haniambii, nikikaa nae nitamuuliza kwanini haniambii na tatizo ni nini.

Ndîo unafiki huo ulioukataa. Usiseme hujui Kwa nini hakuambii.
Kama angekuwa siô mnafiki yàani NI mkweli wala usingemwona Kwa jinsi hiyo uliyoeleza kwèñye Uzi huu.

Kama kaona shida angekuambia mapema Kabla hujaona hizô dalili
 
Unataka kujifunza kitu, au upo hapa kupotezea watu muda. Kama ulishaamua kufata mawazo ya mzazi, sikuona haja ya wewe kuleta hii mada hapa. Ni matumizi mabaya ya muda.
Mkuu, kila mtu ana muda wake na anaamua autumiaje, mimi kuandika hapa nimetumia muda wangu, na wanaochangia wanatumia muda wao.

Wewe kama unaona huna muda wa kuandika ni afadhali ukafanya majukumu yako mengine
 
Ndîo unafiki huo ulioukataa. Usiseme hujui Kwa nini hakuambii.
Kama angekuwa siô mnafiki yàani NI mkweli wala usingemwona Kwa jinsi hiyo uliyoeleza kwèñye Uzi huu.

Kama kaona shida angekuambia mapema Kabla hujaona hizô dalili
Chamsingi tunaishi kwa amani na furaha, hayo mengine ni mambo ya kimkakati zaidi na nitakaa nae na tutaongea kwa kina anieleze
 
Mkuu, kila mtu ana muda wake na anaamua autumiaje, mimi kuandika hapa nimetumia muda wangu, na wanaochangia wanatumia muda wao.

Wewe kama unaona huna muda wa kuandika ni afadhali ukafanya majukumu yako mengine
Kwakuwa umeleta hili Jambo mbele yetu, na nimeona Kuna Jambo halipo sawa. Sitasita kulisemea ili tu wakati mwingine yasijirudie.

Hivyo suala langu la msingi ni hili kama umeshaamua kuchukua maamuzi hususani kufuata ushauri au mawazo ya mzazi wako sikuona haja ya wewe kuleta Jambo hili hapa ikiwa limeshafanyiwa maamuzi na wewe.

Unahitaji nini baada ya kusikia maoni ya watu? Maoni hayo Yana msaada Gani ikiwa umeshachukua hatua.
 
Chamsingi tunaishi kwa amani na furaha, hayo mengine ni mambo ya kimkakati zaidi na nitakaa nae na tutaongea kwa kina anieleze

Kama mnaishi Kwa Amani why utafute tatizo àmbalo Mama yako hajaona umuhimu wa kukuambia?

Au nikuelewe Kwa namna hii.
Unàtaka kumwona Mama yako anafuraha lakini tangu agundue unàtaka kumwoa huyo Binti furaha yake imetetereka na haupo tayari kuwa chanzo cha furaha ya Mamaako kuondoka?
 
Kwakuwa umeleta hili Jambo mbele yetu, na nimeona Kuna Jambo halipo sawa. Sitasita kulisemea ilimradi wakati mwingine yasijirudie. Hivyo suala langu la msingi ni hili kama umeshaamua kuchukua maamuzi hususani kufuata ushauri au mawazo ya mzazi wako sikuona haja ya wewe kuleta Jambo hili hapa ikiwa limeshafanyiwa maamuzi na wewe. Unahitaji nini baada ya kusikia maoni ya watu? Maoni hayo Yana msaada Gani ikiwa umeshachukua hatua.
Bado sijachukua hatua, nimeomba ushauri na nimeupata na nazidi kupokea zaidi.

Ushauri nilio upata ni kuhakikisha nakaa na naongea na Mama na kumuuliza ni sababu gani inafaya asiwe na imani tena.
 
Kama mnaishi Kwa Amani why utafute tatizo àmbalo Mama yako hajaona umuhimu wa kukuambia?

Au nikuelewe Kwa namna hii.
Unàtaka kumwona Mama yako anafuraha lakini tangu agundue unàtaka kumwoa huyo Binti furaha yake imetetereka na haupo tayari kuwa chanzo cha furaha ya Mamaako kuondoka?
Bado hujanielewa kabisa.

Tunaishi kwa furaha lakini nimeona tofauti kwa Mama yangu, nitamuuliza tatzo ni nini ili nihakikishe wote tunabaki na furaha, kama tatizo ni kubwa nitafanya maamuzi, kama linatatulika pia nitafanya maamuzi.
 
Samahani ila ndio ukweli halisi.

Wewe ni mama boy una mtoto unatarajia kuoa na kuwa na familia ila bado upo attached/umejishikiza kwa mama yako mzazi sababu amekuzaa.

Umefanya ujinga na umeruhusu mama yako amchoke mzazi mwenzako. Sikiliza ndugu, mama yako anampimia binti wa watu kwa kipimo ambacho sicho!!

By the way, huo ni utamu wako na amekuzawadia mtoto huhitaji kupata validation kutoka kwa mama yako.

Funga ndoa, oa na chukua mke wako na mtoto wako mkaishi kivyenu achana na mama yako ni chakula cha baba yako tu asivuke mipaka.

Sorry kama nimetumia lugha Kali mimi ni mubaba wa kunyoosha.
Samahani ila ndio ukweli halisi.

Wewe ni mama boy una mtoto unatarajia kuoa na kuwa na familia ila bado upo attached/umejishikiza kwa mama yako mzazi sababu amekuzaa.

Umefanya ujinga na umeruhusu mama yako amchoke mzazi mwenzako. Sikiliza ndugu, mama yako anampimia binti wa watu kwa kipimo ambacho sicho!!

By the way, huo ni utamu wako na amekuzawadia mtoto huhitaji kupata validation kutoka kwa mama yako.

Funga ndoa, oa na chukua mke wako na mtoto wako mkaishi kivyenu achana na mama yako ni chakula cha baba yako tu asivuke mipaka.

Sorry kama nimetumia lugha Kali mimi ni mubaba wa kunyoosha.
Na Mimi nakazia hapo hapo hata Biblia inasema atamuacha Baba na Mama yake Ndoa nyingi zina mgogoro sababu ya Mama kuingilia Ndoa za watu
 
Bado hujanielewa kabisa.

Tunaishi kwa furaha lakini nimeona tofauti kwa Mama yangu, nitamuuliza tatzo ni nini ili nihakikishe wote tunabaki na furaha, kama tatizo ni kubwa nitafanya maamuzi, kama linatatulika pia nitafanya maamuzi.

Mmmh!
Sasa kama kûna furaha Hilo tatizo ulilionaje?
Au Siku hizi kûna Watu wanafurahia matatizo?

Unajua maana ya tatizo?
Unaposema uliona tofauti Kwa Mamaako àmbayo utamuuliza nini tatizo(kipi hakiendi Sawa, kipi kinamnyima Amani)
 
Mmmh!
Sasa kama kûna furaha Hilo tatizo ulilionaje?
Au Siku hizi kûna Watu wanafurahia matatizo?

Unajua maana ya tatizo?
Unaposema uliona tofauti Kwa Mamaako àmbayo utamuuliza nini tatizo(kipi hakiendi Sawa, kipi kinamnyima Amani)
niliposema tatizo nilimaanisha niliona tofauti nikiwa naongea naye binafsi kuhusu maswala ya baadae, ila kiujumla nyumbani wanaishi kwa amani na furaha tele.
 
Na Mimi nakazia hapo hapo hata Biblia inasema atamuacha Baba na Mama yake Ndoa nyingi zina mgogoro sababu ya Mama kuingilia Ndoa za watu
Mimi hakuna mtu ameingilia ndoa yangu kwasababu bado sina ndoa.
 
Mama kaona mtoto sio wako!! Anashindwa kusema TU.







KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom