Samahani ila ndio ukweli halisi.
Wewe ni mama boy una mtoto unatarajia kuoa na kuwa na familia ila bado upo attached/umejishikiza kwa mama yako mzazi sababu amekuzaa.
Umefanya ujinga na umeruhusu mama yako amchoke mzazi mwenzako. Sikiliza ndugu, mama yako anampimia binti wa watu kwa kipimo ambacho sicho!!
By the way, huo ni utamu wako na amekuzawadia mtoto huhitaji kupata validation kutoka kwa mama yako.
Funga ndoa, oa na chukua mke wako na mtoto wako mkaishi kivyenu achana na mama yako ni chakula cha baba yako tu asivuke mipaka.
Sorry kama nimetumia lugha Kali mimi ni mubaba wa kunyoosha.