suleiman noor
Member
- Feb 29, 2024
- 12
- 10
Mama kama mama akikaa na mkwe zaidi a mwezi ni kosa lazima atatoa kasoro usizo ziona wewe kwa hiyo maamuzi yapo kwako na wewe kuona hizo kasoro au kuzifumbia macho mambo yakawa mbele kwa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke anaishi na mimi lakini sio busara kufanya maamuzi bila kupata ushauri kutoka kwa wazazi wangumke anaishi na wewe unaporuhusu mama yako akuchagulie mke elewa utakuwa huoi kwa ajili ya mama au jamaa zako.
Hakuna kitu atakachokosa, mpaka sasa anaishi vizuri na soon Bibi yake anataka amuanzishe shuleNamuonea huruma mtoto aliezaliwa hapo aiseee! anaenda kukosa huduma muhimu na malezi bora kisa ana dingi kilaza
Nitamuuliza ni kasoro gani ameziona na kisha nitafanya maamuziMama kama mama akikaa na mkwe zaidi a mwezi ni kosa lazima atatoa kasoro usizo ziona wewe kwa hiyo maamuzi yapo kwako na wewe kuona hizo kasoro au kuzifumbia macho mambo yakawa mbele kwa mbele
Maoni ya wazazi ni muhimu katika hilo. Ila tambua ya kwamba wewe ndie unae kwenda kuishi nae na sio mzazi wako. Jiridhishe na moyo wako kwamba kweli unampenda na utaenda kujenga naye familia, hiyo inatosha kabisa.Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Mzazi wangu ndyo alitaka aje ili amuone mjukuu wakeHuyo binti ungemleta kwa mama kabla hujazaa nae ungekua umefanya la maana sana. Ona sasa unaenda kuongeza idadi ya singo mazaz na watoto wasio na malezi.
Mzingatie mtoto na huyo binti kama umeamua kumpiga chini....piga chini mapema ajue kama ataenda dar au abaki KijijiniHakuna kitu atakachokosa, mpaka sasa anaishi vizuri na soon Bibi yake anataka amuanzishe shule
Kwa sasa yupo dar, kwao ni kijijini, ila nataka niongee na Bimkubwa then nifanye maamuzi ya mwishoMzingatie mtoto na huyo binti kama umeamua kumpiga chini....piga chini mapema ajue kama ataenda dar au abaki Kijijini
Amekuja hom kwa lengo la kumleta mtoto bibi yake amuone na si vinginevyoLakini pamoja na hayo wewe kwanza umebesha mimba amezaa ndo unaenda kutambulisha kwenu sasa huyo ni mchumba au mkeo bado ndoa tu 😂😂😂😂😂
Ongea na mama uso kwa uso. Mwambie nia yako kwa huyo mzazi mwenzio, then msikilize anamaoni gani baada ya kukaa nae kwa muda huo. Hakuna mkamilifu, labda usio kabisaHabarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Sasa maneno yote hayo ya kejeli ya nini? Kama umekuja kwa lengo la kutoa ushauri fanya hivyo sio kuporomosha unnecessary dramatutolee utoto wa mama hapa be a man, ni Nini unataka eti nimegundua mama kaona Kuna kitu hakipo sawa muone kwanza hovyoooo
Mimi naona kama wewe ndio humtaki huyo binti baada ya kuwa umemzalisha. Hapa unachofanya ni kutafuta kisingizio cha kumpiga chini.Amekuja hom kwa lengo la kumleta mtoto bibi yake amuone na si vinginevyo
Sasa maneno yote hayo ya kejeli ya nini? Kama umekuja kwa lengo la kutoa ushauri fanya hivyo sio kuporomosha unnecessary dramatutolee utoto wa mama hapa be a man, ni Nini unataka eti nimegundua mama kaona Kuna kitu hakipo sawa muone kwanza hovyoooo