kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #61
Sina mpango wa kuoa kwa sasaUnaoa kwaajili ya mama ako au kwaajili yko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mpango wa kuoa kwa sasaUnaoa kwaajili ya mama ako au kwaajili yko?
Kwa sasa sina mpango wa kuoaKwa sababu unamuolea mamako, endelea kutafuta mpaka upate atakayemuelewa.
Una umri gani?Habarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Ukikebehi na Mimi uniruhusu nikebehiNaomba uniruhusu nikukebehi kidogo tu mkuu hivi hivi sitaridhika naweza kukosa usingizi nikikuacha mkuu
23Una umri gani?
Kama ningekuwa simtaki ningemuambia kitamboMimi naona kama wewe ndio humtaki huyo binti baada ya kuwa umemzalisha. Hapa unachofanya ni kutafuta kisingizio cha kumpiga chini.
Nitaongea nae soon na nitamuuliza yeye amemuonaje huyo bintiOngea na mama uso kwa uso. Mwambie nia yako kwa huyo mzazi mwenzio, then msikilize anamaoni gani baada ya kukaa nae kwa muda huo. Hakuna mkamilifu, labda usio kabisa
Huo ndio ukweli, mwambie mama Ako akutafutie mke atakaeridhika nae, too bad umeshamzalisha, ukimpata mwingine karipoti Kwa mama Yako kwanza mpunguze idadi ya masingle mazaSasa maneno yote hayo ya kejeli ya nini? Kama umekuja kwa lengo la kutoa ushauri fanya hivyo sio kuporomosha unnecessary drama
Tamaa za ujana ndiyo zimekusukuma lakini naona bado hujakomaa kuweza kufanya maamuzi ya kuanzisha familia. Natoa pole nyingi kwa huyo binti aliyetanua miguu yake kwako. Hilo liwe somo kwa mabinti, unamchanuliaje mwanaume mpaka anakujaza mimba wakati hata hajakulipia magari wala NDOA?
Kutafuta mke sio jukumu lake, Mimi ndy natafuta then yeye ananipa ushauriHuo ndio ukweli, mwambie mama Ako akutafutie mke atakaeridhika nae, too bad umeshamzalisha, ukimpata mwingine jaripoti Kwa mama Yako kwanza mpunguze idadi ya masingle maza
Kweli kuanzisha familia kwa sasa sina mpango huo na huyo binti anajua, hata wazazi wake niliwaambia kwamba bado muda....Tamaa za ujana ndiyo zimekusukuma lakini naona bado hujakomaa kuweza kufanya maamuzi ya kuanzisha familia. Natoa pole nyingi kwa huyo binti aliyetanua miguu yake kwako. Hilo liwe somo kwa mabinti, unamchanuliaje mwanaume mpaka anakujaza mimba wakati hata hajakulipia magari wala NDOA?
Wewe ni mpuuzi kwani anae oa ni wewe au Mama yako em acha ujinga wewe ni binadamu kamili na una maamuzi yako achana na uyo Mama yako ambae inaonekana kabisa ni one of the toxic woman's na ni narcissist mzuri tu na ukizubaa ata kuharibia maisha yako yote la mwisho acha kua mtoto wa Mama kwasababu tayari ushaanza familia yako mpya "The Family You Create Is More Important Than The Family You Came From" OVERHabarini ndugu
Baada ya kupata mtoto, ilibidi mzazi mwenzangu aje nyumbani kwetu kumleta mtoto Bibi yake amuone kwani alikuwa na shauku ya kumuona mjukuu wake.
Walikaa kwa kipindi cha miezi kadhaa, na walikaa kwa furaha na amani. Mama yangu alifurahi kwani mwanzo aliona na kusifia tabia nzuri na kujituma kwa binti yule.
Kadri siku zilivyokuwa zinasonga, nikahisi kuna jambo halipo sawa, kila nikiongea na Mama kuhusu mipango ya baadae alikuwa haonyeshi dalili za kubashiri ndoa yangu na binti yule. Nikajua tu hajaridhika nae.
Lakini naamini Mzazi wangu ananijua vizuri na anajua ni kipi kitanifaa na kuendana na mimi, nahisi kuna vitu amegundua kwa binti yule kwa muda aliokaa nae.
Mimi sina tatizo na mawazo na ushauri wa Mzazi wangu, lakini najiuliza je ni sahihi kuendelea kumuaminisha binti huyu kwamba nitamuoa ilihali najua Mzazi wangu hajaridhika nae?
Najiuliza nimwambie mapema kwamba haitowezekana kufunga ndoa hapo badae? Naogopa kumpa maumivu na kumfanya akose amani.......
Ni uamuzi gani wa busara napaswa kufanya wadau? Naombeni ushauri wenu bila kebehi na masihara..
Asanteni.....
Wew unafeli sana,Mimi sipo tayari kumkwaza Mama yangu, japo mimi ndyo nina maamuzi ya mwisho lakini ni lazima nisikilize ushauri wake
Basi tutafute sehemu tuonyeshane ubabe mkuuUkikebehi na Mimi uniruhusu nikebehi
Huyo binti kwanini ukampa mimba wakati unafahamu kuwa haupo tiyari kumuoa? Na unavyotaka kumuacha unatarajia Nani atamuoa?Brother, mimi bado nipo home na ni mwanafunzi pia.. hata swala la ndoa ni baadae sana, nahisi labda Mzazi wangu ameona huyu binti hawezi kuvumilia mpaka nihitimu masomo
Mama yangu ni mtu mwenye hekima na busara kubwa, hawezi kuwa na bif na mtoto mdogoWew unafeli sana,
Wanawake wana upuuzi mwingi, usikute mama ako ana bifu la kiuwanawake na huyo mke wako,
TEngeneza familia yako, sio ya mama ako
Huyo binti kwanini ukampa mimba wakati unafahamu kuwa haupo tiyari kumuoa? Na unavyotaka kumuacha unatarajia Nani atamuoa?Mama yangu ni mtu mwenye hekima na busara kubwa, hawezi kuwa na bif na mtoto mdogo