kkarumekenge
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 1,708
- 1,028
Umaskini kitu kibaya sana jamani. yaani Manji kageuka mungu mtu hata yanga, anafanya anavyotaka sasa kabla hajakodi timu, je atakapokodi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa akili za namna hii huyu kanjibai atawageuza kama CHAPATI, hadi masaburi atayashikashika na hivi ni kanjibai!Naskia leo mliamua kufunga na kuomba mambo yazidi kwenda kombo tehtehteh.
Mikia wamenuna sana.
Hao lazima wanune.... Na tutawakalisha tu
Muulize Rage, mambumbumbu ni akina nani.. Atakujibu.. Jibu utalopata urudi jf utuambie.... Naona mikia mnataka kubadilisha jina mjiite Yanga na nyinyi
Jamaa wazembe sana hawaangalii ya kwao wanaangalia ya Yanga.Naskia leo mliamua kufunga na kuomba mambo yazidi kwenda kombo tehtehteh.
Tuambieni nyie matajiri mnamtaka moooo wa nini?Umaskini kitu kibaya sana jamani. yaani Manji kageuka mungu mtu hata yanga, anafanya anavyotaka sasa kabla hajakodi timu, je atakapokodi?
Yule kiongozi wenu kusema nyie ni mbumbumbu hakukosea aiseekwa akili za namna hii huyu kanjibai atawageuza kama CHAPATI, hadi masaburi atayashikashika na hivi ni kanjibai!
Mhh!!!? Anaandaa Kampuni ili aikodishe Yanga?! Wakati yeye anadai timu amesha pewa na ule mkutano wa juzijuzi. Bado sikuelewi ina maana amekurupuka kuitisha ule mkutano?!Mkuu mbona manji amesema kuwa anaandaa kampuni ambayo itakuja kuikodisha timu,mna haraka gani?
Samahani kwa kutumia lugha ya ukakasi. Pia nashukuru kwa kuwa na mtizamo wa kimaendeleo.Nivizuri mtazamo wako kama huu usiambatane na majina au hisia za kibaguzi. Huu ni mtazamo wako na hata mimi siupingi haipendezi ukisemwa kibaguzi.
Alafu nyie mambumbumbu fc mna tabu sana yani mnaona maisha yenu hayawezi kwenda bila uyo manji
Heshima kwako mkuu. Huu ndiyo Uungwana umefanya nimekuheshimu sana.Samahani kwa kutumia lugha ya ukakasi. Pia nashukuru kwa kuwa na mtizamo wa kimaendeleo.
Narudia tena samahani sana kwa kuwakwaza wasomaji, ilikuwa ni munkari wa kiuandishi, Mkuu uungwana ni jadi yangu.Heshima kwako mkuu. Huu ndiyo Uungwana umefanya nimekuheshimu sana.
Wachawi sana hawa watoto wa mchangani,wametupiga tunguli tuvurugane ili wapate ahueni.Bila Mo matopeni hakunogi...
mambo ya kulishana keki yapo kule topeniMsisahau kumfanyia sendoff akiondoka kweli
Kuwa na mungu ni lazima awe wa miti, mawe, mnyama, binadamu au kitu chochote. Wakati Yanga wameamua kuwa na mungu aitwaye Manji, Simba nao wameamua kuwa na mungu aitwaye MO.Umaskini kitu kibaya sana jamani. yaani Manji kageuka mungu mtu hata yanga, anafanya anavyotaka sasa kabla hajakodi timu, je atakapokodi?