Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Januari angekuwa M/Mwenyekiti ingeleta maana zaidi.
Kinana amestaafu kwa ajili ya uzee,anawezaje kuwa replaced na Mzee Makamba?
Ni kama Joe Biden ilivyobidi aondolewe kwenye tiketi ya kugombea.
Kinana kaanza kuwa Mzee lini?

Kinana katika Kwa sababu ya wizi na mipango miovu. Tusipende kupamba watu kijinga kijinga
 
Nahisi kuna Kitu hakipo sawa, Ama kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza usiokuwa na nuru, MUNGU Amfanyie wepesi Mh Dr Samia Suluhu Hassan, uongozi una mengi yenye raha na matatizo.. Tupo Pamoja naye Kiongozi Wetu na MUNGU amlinde.
 
Nawaambieni ukweri ndugu zangu, tuiombee sana nchi yetu. Tuombe amani iendelee kutawala. Haijawahi kutokea rais kutoa zawadi ya pikipiki zenye jina lake kabla hata ya wakati wa kampeni.

Haijawahi kutokea rais kuwasafirisha wananchi nje ya nchi kwa lengo la 'kula bata'.. Haijawahi kutokea rais kukabidhi rasilimali za taifa kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji. Yapo mengi ambayo hayawahi kutokea lakini leo yanatokea. Na yanazua maswali mengi.

Tuliombee sana Taifa letu hasa nchi ya Tanganyika! Mwenyezi Mungu aliponye hili taifa
hatuombei kitu mpaka damu ilipwe kwa damu
 
Back
Top Bottom