Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Tetesi: Mzee Alhaj Luteni (Mstaafu) Yusuf Makamba M/kiti CCM Bara

Most useless man ever, huyu Mze ni mnafiki sana na ndiyo huyu aliyesababisha CCM kutaka kumfia Mze Kikwete na akatimuliwa tena kwa kukimbizwa na fimbo asionekane popote pale hapa Tanzania, yule Mze nuksi sana.
Wasambaa wana unafiki wa asili, ni tabia yao hio 😂😂😂 tulioishi nao tunawafahamu. Watu wa kung'ata na kupuliza na swala la uchawa ndio kabisaa. Yani yupo radhi akuue kisiasa ili apate sifa kwa mwenye nazo tu.
 
Wasambaa wana unafiki wa asili, ni tabia yao hio 😂😂😂 tulioishi nao tunawafahamu. Watu wa kung'ata na kupuliza na swala la uchawa ndio kabisaa. Yani yupo radhi akuue kisiasa ili apate sifa kwa mwenye nazo tu.
Msambaa akikuambia umependeza sana,nenda chemba kajiangalie vizuri huenda umenyewa na kunguru mgongoni.
 
Mkuchuika, Chikawe, Makinda
Mkuchika kwa sasa ni mgonjwa hana tena uwezo wa purukushani! hawezi kutembea km 5 bila kusimama ajisaidie haja ndogo! Pia ana Sleeping sickness hata ktk kampeni zake lazima awe na matarumbeta kwa Ajili ya kumuamsha asisinzie mkutanoni! la Mwisho ana ROHO MBAYA.
 
Kama Mama anaona Andiko langu! Binafsi namtakia kheri na nampenda, ana maono mazuri na Tanzania ijayo! Shida iliyopo amezunguukwa na wengi wanaosubiri Anguko lake, kwa nafasi hiyo aliyotoka Mzee kinana kuna watu watatu wanaweza kumsaidia sana! Kwanza Aachane na wastaafu kuwaleta leta ktk teuzi zake watampasua kichwa! pendekezo langu.
1. Dkt Bashiru Ally Kakurw
2. Anthony Mtaka RC NJOMBE
3. Hamphrey Pole pole

Hao watu wana uwezo Mkubwa ktk Uongozi na wanakijua chama na baadhi ya Siri zake.

Naomba kuwasilisha.
 
Mtu amestaafu anarudishwa tena kwenye pirika.
Hawamtakii mema !
Atakuwa anaendewa kwa waganga na kunuwiziwa madawa ya kila aina ili watu wapewe vyeo au wapitishwe kwenye kura za maoni 😅🤣🤣🤦🏽‍♂️

Mwacheni Mzee wa watu apumzike !

Na kwani nani aliwadanganya kwamba vyeo hivyo ni special kwa Wazee tu. ??!

Akina Mwalimu Nyerere, Kawawa, au Nchi nyingine kama Kenya Uganda Kongo Ghana Misri wale walioongoza vyama vyao walikuwa wazee ?????!!

Someni historia Acheni roho mbaya na tamaa hata vijana wapo vijana makini !
Kama vipi mpeni Mzee Mzalendo Warioba ili aharakishe tupate Katiba mpya bora 😳🙌👍 !
 
Huyu mzee ndie hafai kabisa kwani hekima na busara hana kabisa!
Ni mropokaji huku akikosa kushirikisha 'kichwa' wakati wa kuongea!
Ni mtu wa kupenda fedha zaidi kuliko utu (kumbukeni jengo la umoja wa vijana)
 
Back
Top Bottom