macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwanza mwanzisha thread ajiulize je, anaweza kwenda chooni peke yake bila usaidizi?Mwenyekiti CCM na Rais Samia akimpa huyo atakuwa kafanya Kosa kubwa sana na atakuwa ameingia katika 18 zao.
Na nitashangaaMwenyekiti CCM na Rais Samia akimpa huyo atakuwa kafanya Kosa kubwa sana na atakuwa ameingia katika 18 zao.
hahahahahahahahahahahahaha.....Makamba ni Dr. wa nini?
Huyu umri umeshamtupa. Akalee wajukuu. Kama siyo Pinda, basi ngoma inarudi kanda ya ziwaaaaaaaa Bashiru au Wasira. Full stop.Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Kinana kaanza kuwa Mzee lini?Januari angekuwa M/Mwenyekiti ingeleta maana zaidi.
Kinana amestaafu kwa ajili ya uzee,anawezaje kuwa replaced na Mzee Makamba?
Ni kama Joe Biden ilivyobidi aondolewe kwenye tiketi ya kugombea.
Makamba NO NO NO NO NO NO . Hapo ni mtoto wa mkulima stop. PINDAKufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Watu wazuri hawafi. Hiyo familia TU ndipo Kuna viongozi?Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
..............Makamu mwenyekiti nii Mzee Lukuvi au Bulemboo subiri donee
Lukuvi anafaaMost useless man ever, huyu Mze ni mnafiki sana na ndiyo huyu aliyesababisha CCM kutaka kumfia Mze Kikwete na akatimuliwa tena kwa kukimbizwa na fimbo asionekane popote pale hapa Tanzania, yule Mze nuksi sana.
Hiyo Dr. imefuata nini hapo?🤣🤣🤣Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM.
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
- Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
hatuombei kitu mpaka damu ilipwe kwa damuNawaambieni ukweri ndugu zangu, tuiombee sana nchi yetu. Tuombe amani iendelee kutawala. Haijawahi kutokea rais kutoa zawadi ya pikipiki zenye jina lake kabla hata ya wakati wa kampeni.
Haijawahi kutokea rais kuwasafirisha wananchi nje ya nchi kwa lengo la 'kula bata'.. Haijawahi kutokea rais kukabidhi rasilimali za taifa kwa wageni kwa kisingizio cha uwekezaji. Yapo mengi ambayo hayawahi kutokea lakini leo yanatokea. Na yanazua maswali mengi.
Tuliombee sana Taifa letu hasa nchi ya Tanganyika! Mwenyezi Mungu aliponye hili taifa
Labda PhD ya wizi wa kura ndani ya CCM.....Nape NauyePhD wamempa lini
Dr himselfMzee luteni hahah!