Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Daaaaaah nimecheka sana hapo kwenye OSHA nilikuwa nafanya kitu cha OSHA mara naisoma msg yako haya weeeeSafety first..huyu mzee napaswa kuwa mkurugenzi wa osha maana anatekeleza kwa vitendo.
#MaendeleoHayanaChama
Na kwetu kulikua na mzee baiskeli yake ya kubebea mizigo tu hapandi na haikua na pedals,dah wazee wamepita wapumzike kwa amaniUmenikumbusha kwetu miaka ya nyuma kuna mzee mmoja alikuwa na Baiskeli aina ya Swala yeye kama anaendesha baskeli basi alikuwa akifika darajani anashuka mpaka ahakikishe amevuka daraja ndio aipande tena!
Duniani kuna vijimambo
Hivi vitu vipo ukisikia kwa mtu unaeza sema labda mtu ameamua kufurahisha no vipo kweliNa kwetu kulikua na mzee baiskeli yake ya kubebea mizigo tu hapandi na haikua na pedals,dah wazee wamepita wapumzike kwa amani
Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
marekani kunafikika kirahisi kwa miguu ila Marekani mpaka upande ndege.Kuna mzee namfahamu huwa anatembea kwa miguu mpaka marekani na kurudi.
picha?Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Mmempeleka Milembe kwa uchuguzi?Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Huyu yeye anafika Marekani.marekani kunafikika kirahisi kwa miguu ila Marekani mpaka upande ndege.