Mzee anaendesha RAV4 huku kavaa Helmet za pikipiki

Umenikumbusha kwetu miaka ya nyuma kuna mzee mmoja alikuwa na Baiskeli aina ya Swala yeye kama anaendesha baskeli basi alikuwa akifika darajani anashuka mpaka ahakikishe amevuka daraja ndio aipande tena!

Duniani kuna vijimambo
Na kwetu kulikua na mzee baiskeli yake ya kubebea mizigo tu hapandi na haikua na pedals,dah wazee wamepita wapumzike kwa amani
 
Huenda mawazo yake anafikiria anaendesha pikipiki. Ila ni kituko cha aina yake, sawa na mama mmoja aliendelea kubeba mzigo wake kichwani akiwa kwenye gari ili asilipie mzigo. Mama ndie kabeba mzigo na sio gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwetu kulikua na mzee baiskeli yake ya kubebea mizigo tu hapandi na haikua na pedals,dah wazee wamepita wapumzike kwa amani
Hivi vitu vipo ukisikia kwa mtu unaeza sema labda mtu ameamua kufurahisha no vipo kweli
 
Kuna mzee kanunua pkpk ila hutakuja kusikia kujifunza kuendesha ila tokea ujana wake kila akiona toleo jipya analo ila kuendesha ni mwiko juzi kat kanunua gari mambo ni hayo hayo
 

Ganja bana
 
picha?
 
Kuna mzee mmoja mjeda alikuwa na Korando, alitoa viti vyote akaacha kiti cha dereva tu...

Kwa sababu hakutaka kupakia abiria kwenye gari yake, hata familia yake...
 
Mmempeleka Milembe kwa uchuguzi?
 
halafu anakuja kufa na ukimwi anyway avae condom pia
 
Mimi ningekua naangusha kicheko kila nikimuona๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ