Kikapuu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,122
- 1,629
mwambie huyo anadhani huwa napigwa picha kizembe, kwanza kunipiga picha hadi uwe na helmentMzee mtata kama huyo unampigaje picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie huyo anadhani huwa napigwa picha kizembe, kwanza kunipiga picha hadi uwe na helmentMzee mtata kama huyo unampigaje picha?
Bro; Kila Shetani na mbuyu wake. WW imekuhusu nini? Mwacheni mzee wa watu atende/afanye ile kitu roho yake inapenda na moyo wake usuuzike alimradi havunji Sheria za Jamhuri..Tz. WW komaa na hali yako. Kama unacheka unapomwonavile , je, yy huwa anakuuliza unacheka nini? au anakuleta huku jamvini? Angalia usikute na yy anakucheka unapomcheka.🤪Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Yap! Udumu Mzee wa helmet.😎mwambie huo anadhani huwa napigwa picha kizembe, kwanza kunipiga picha hadi uwe na helment
Anaogopa kupasuka fuvu la kichwaDunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Kuna mzee mmoja yeye akifua nguo yake na kuianika kwenye kamba ikitokea kakuta nzi katua kwenye hiyo nguo yake lazima aianue na kuifua upya.Kuna wazee watata sana,, kuna mmoja alikua akija kijiweni kuchukua taxi basi ataikagua tairi zote asikute kipara wala haina upepo atakagua kioo cha mbele na nyuma asikute ufa wowote,, side mirror ataziangalia na unapompeleka anapoenda usijepetia sehemu eti ujazie mafuta,, atashuka na kutafuta usafiri mwingine.
Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Bange ntuDunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Na ukiwauliza wakuoneshe waliokuwa wanavuta bangi enzi za ujana wao hawawaoneshi.Pata jibu hapo!Wazee huwa na mbwembwe sana sjui huwa n kwanini
Ila nawasifu wanajua kutunza vitu sana
Acha uongo.Kuna mzee namfahamu huwa anatembea kwa miguu mpaka marekani na kurudi.
Merekani Ya Mtoni hapo Arachuga aka .... 'USA RIVER'Kuna mzee namfahamu huwa anatembea kwa miguu mpaka marekani na kurudi.
Ile ya Tramp kabisa.Merekani Ya Mtoni hapo Arachuga aka .... 'USA RIVER'
Kuna mzee namfahamu huwa anatembea kwa miguu mpaka marekani na kurudi.