Wengi wanaona ni Kituko lkn yupo sahihi 100%. Kikubwa kinachoua watu kwenye ajali za Magari ni Head Injury. Ndio maana hata Racing Cars wanavaa Helmet.Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Helmet yenyewe imetengenezwa china inameguka kama ganda la yaiDunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama
Korando ikitolewa seat daah si linakua pango kwa sura ile?Kuna mzee mmoja mjeda alikuwa na Korando, alitoa viti vyote akaacha kiti cha dereva tu...
Kwa sababu hakutaka kupakia abiria kwenye gari yake, hata familia yake...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yuko mzee mmoja baiskeli yake alikuwa akiiosha kila siku kabla kuipanda alikuwa hataki mtu yeyote aitumie anasema wataichafua baiskeli yake
Huyo alikuwa anaogopa asije akaangukia kwenye mto.Umenikumbusha kwetu miaka ya nyuma kuna mzee mmoja alikuwa na Baiskeli aina ya Swala yeye kama anaendesha baskeli basi alikuwa akifika darajani anashuka mpaka ahakikishe amevuka daraja ndio aipande tena!
Duniani kuna vijimambo
Acha uongo.Kuna mzee namfahamu huwa anatembea kwa miguu mpaka marekani na kurudi.
Duh! Yaani unapishana na kiroja halafu hapohapo anakuja mtu kukuambia sababu ya kiroja hicho! Kamba hizi ni za kufungia nguruwe.Dunia ina watu watata
Maajabu tumepishana na mzee ana RAV4 anaendesha kavaa Helmet zile za bodaboda kichwani nimeambiwa ukiomba lift anakwambia kama una Helmet panda
Gari yake hata mkewe na watoto wake hawapandi sababu sharti la kuvaa Helmet limewashinda
Mwenyewe anasisitiza kuwa hata abiria kwenye mabasi wawe wanavaa Helmet just in case ajali ikitokea vichwa vyao vitakuwa salama