B Prosper
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,527
- 4,097
Mkuu nimepiga hesabu hapa, approximately ni 340Milions.
Mimi kwa wazo lako nakuunga mkono 100%, yalishatukuta kwenye familia yetu mwaka 2004 pindi mzee anastaafu, yeye alikuwa ni askari. Nakumbuka baada ya mzee kurejea home alisema atanunua gari (bus), ataboresha mazingira ya nyumbani, na pia nakumbuka alisema ataleta mashine za kusaga na kukoboa.
Aisee huwezi amini, hakufanya jambo hata moja, alikuwa akienda club analala hukohuko anarudi asubuhi, alikuwa na michepuko afadhali ile ya suleimani inahesabika. Yaani hata mazingira ya hapa home tumeyarekebisha sisi watoto huku ukubwani.
Siyo kwamba unampangia matumizi laah hasha fedha kama hizo ni vyema nyie kama familia mkanufaika nazo.
If you think you're a good person, go home and love your family, hao ndio watakuuguza uzeeni.
Mimi kwa wazo lako nakuunga mkono 100%, yalishatukuta kwenye familia yetu mwaka 2004 pindi mzee anastaafu, yeye alikuwa ni askari. Nakumbuka baada ya mzee kurejea home alisema atanunua gari (bus), ataboresha mazingira ya nyumbani, na pia nakumbuka alisema ataleta mashine za kusaga na kukoboa.
Aisee huwezi amini, hakufanya jambo hata moja, alikuwa akienda club analala hukohuko anarudi asubuhi, alikuwa na michepuko afadhali ile ya suleimani inahesabika. Yaani hata mazingira ya hapa home tumeyarekebisha sisi watoto huku ukubwani.
Siyo kwamba unampangia matumizi laah hasha fedha kama hizo ni vyema nyie kama familia mkanufaika nazo.
If you think you're a good person, go home and love your family, hao ndio watakuuguza uzeeni.