Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je, nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Hii ndo SAUT ninayoijua Mimi.
 
Yani wakati nasoma hii hadithi yako mkuu nimeishia kucheka tu.

Acha kujidhalilisha, acha kuidhalilisha SAUT, kuna watu wengi wamepitia hicho chuo waking nawe ni product ya SAUT watajisikia vibaya.

Mafao ya baba ni yake kwa ajili ya uzee wake, akikupa kidogo ni maamuzi yake, hutakiwi hata kumuulizia kuhusu mafao yake.
Kila asubuhi mfute Viatu kuwa Mtoto mwema mfulie na kunyoosha Nguo atakufikiria akizingua njoo manga Mkata nikupeleke Kwa bibi mwenye kaniki jeusi na mapaka mengi kama mbuzi
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je, nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Aisee... Umegeuka changudoa ????
 
Tatizo linaanza mpaka sasa bado unaishi kwa mzee wako.
 
Hivi babu wa miaka 61 na kibinti Cha miaka 25, nani anamrubuni mwenzake?



Uwezo wa kurubuni hauko katika umri.

Kamuulize Samson wa kwenye Biblia pamoja na kuwa baunsa kama John Cena lakini alirubiniwa na Mwanamke Delira.
 

Wakati mwingine tunazaa ng'ombe katika hali ya binadamu.
 
Nakushauri tafuta mume upewe gari, nyumba na hiyo simu uitakayo.
Muache mzee afurahie pesa na maisha yake.
Hutaki mzee apate mchepuko,ww unaweza kumtoa genye zake?
So wewe ndo umejitolea mzee akuoe? Nyie ndo majini yenyewe...
 
Mkuu nimepiga hesabu hapa, approximately ni 340Milions.

Mimi kwa wazo lako nakuunga mkono 100%, yalishatukuta kwenye familia yetu mwaka 2004 pindi mzee anastaafu, yeye alikuwa ni askari. Nakumbuka baada ya mzee kurejea home alisema atanunua gari (bus), ataboresha mazingira ya nyumbani, na pia nakumbuka alisema ataleta mashine za kusaga na kukoboa.

Aisee huwezi amini, hakufanya jambo hata moja, alikuwa akienda club analala hukohuko anarudi asubuhi, alikuwa na michepuko afadhali ile ya suleimani inahesabika. Yaani hata mazingira ya hapa home tumeyarekebisha sisi watoto huku ukubwani.

Siyo kwamba unampangia matumizi laah hasha fedha kama hizo ni vyema nyie kama familia mkanufaika nazo.

If you think you're a good person, go home and love your family, hao ndio watakuuguza uzeeni.
Nimefarijika sana kwa hii comment yako. Wengi wanajitoa ufahamu hawajui yanayowakuta wastaafu. Nyie mnahangaika na mzee miaka yote. Anakuja kustahafu kamchepuko ndo kanakuja kula mafao... Si sawa. Ni bora atugawie kila mtu na chake. Mama naye apewe chake.
 
Hii ni Sawa.

Na wakiweza kuzuia ni nzuri sana maana mchuma janga hula na wakwao.

Yani arubuniwe aibiwe pension yake halafu aje kuwa tegemezi kwa watoto kila wakati kuwaomba hela za matumizi?

Hapana wakati angeweza kutumia hela yake kidogo bila kuwa mzigo kwa watoto.
Na ndivyo inatokea anaenda kula na michepuko. Akiishiwa anataka watoto wamlee....na lawama zinakuja kuwa mnamwacha baba yenu anateseka kumbe naye alitesa na michepuko.
 
Hii mipunga ndio inafanya sisi watoto wa kiume tuchukiwe na baba zetu
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je, nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Nimegundua hamna kazi kama kulea, sikulaumu sana bali na mlaumu mzee wako hakukulea kwenye misingi ya kiume,umelelewa kimayai mayai.

Japo sikufahamu ila haijalishi una umri gani ila still una akili za kivulana, tafuta hela yako kwani hela ya wazazi wako sio yako na husiipangie mahesabu hata kama akiamua kuhonga still ni yake sio yako.
 
Utani

Umeanza vizuri ila kadri ulivyoendelea nikajua ni chai
 
Na ndivyo inatokea anaenda kula na michepuko. Akiishiwa anataka watoto wamlee....na lawama zinakuja kuwa mnamwacha baba yenu anateseka kumbe naye alitesa na michepuko.
Wewe ndie unaetaka kulelewa na uzee wote huo, hela zake hazikuhusu, na hata zikiisha ana mafao ya kila mwezi, bima yake ya afya anayo, nyumba za kipangisha, hatakutegemea wewe kamwe, pambana na familia yako, acha uchawi
 
Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu.

Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui.

Je, mnadhani hapo kiinua mgongo anaweza akapewa tsh ngapi? Ili nijue kabisa bajeti inakuaje.

Mimi natamani kununua gari moja kati ya Toyota Vanguard au Rav 4 inayofanana nayo. Nataka nijue from Japan niandae Tsh ngapi ili mzee akipokea tu nimwambie anipatie huo mshiko. Hapa town bila gari ngumu sana kupata watoto warembo.

Nataka na simu moja Samsung ya kukunja. Hapo sasa moyo wangu utakuwa umetulia nasubiria tu sasa agawe urithi maana kuna nyumba 3 mzee alijenga kapangisha.

Mimi nashukuru kupata mzee ambaye aliwekeza. Sina tena haja ya kujenga.maana umri wake umeenda na pia ana sukari. So nategemea akistahafu tu nimwambie agawe kila mtu afe na chake.

Sasa juzi nlikuwa nimeenda home nmetoka kwa sister nikaona nibadilishe mazingira. (Mimi pa kuishi si tatizo na weza lala kwa sister au home nikiona huku wananighasi)

So nikamuuliza mzee anategemea kupata pensheni tsh ngapi? Hakujibu kitu. Kitendo ambacho kilinikwaza sana. Nikaacha na chakula nikaenda room. Nikawaza huyu mzee ana akili kweli? Anadhani tusipopanga bajeti hiyo pesa si itapotea tu? Na anaweza ishia kwenda oa mke mwingine au akapata mchepuko.

Kesho yake hata sikutaka kuonana naye maana nilikuwa na hasira sana.nakumbuka alikuja hadi mlangoni akawa ananiita.sikuitika.

Sasa mnishauri je niende kuuliza ofisini kwao? Je, nimuulize tena? Je kati ya gari hizo ni ipi the best?na katika nyumba zake nichague ya Goba, Mbezi au Kigamboni? Maana nataka niende kabisa kumwambia mpangaji akae kwa kujiadhali akichafua au kuharibu nyumba kitawaka.

Naombeni maoni yenu. Of course mimi nina degree nilisoma SAUT human resource na kumaliza 2010. Bado sijapata ajira ila nimeona si issue naweza simamia miradi ya sister au mzee.
Muue tu baba yako, hamna namna unaweza kumiliki mali yake akiwa hai
 
Mpo busy kuwacheka wabeba box wasiotegemea viinua mgongo vya wazazi wao...mimi hata sijui walipata kiasi gani na kimebaki kiasi gani Mungu ni mwema sana sikuwahi kufikiri hayo mambo hata wadogo hakuna anaewa hayo mambo wapo busy na mbio zao..mtu kapambana kakusomesha umepata akili harafu mali yake unaitamani hiyo sio sawa...
 
Back
Top Bottom