Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

Mkuu nimepiga hesabu hapa, approximately ni 340Milions.

Mimi kwa wazo lako nakuunga mkono 100%, yalishatukuta kwenye familia yetu mwaka 2004 pindi mzee anastaafu, yeye alikuwa ni askari. Nakumbuka baada ya mzee kurejea home alisema atanunua gari (bus), ataboresha mazingira ya nyumbani, na pia nakumbuka alisema ataleta mashine za kusaga na kukoboa.

Aisee huwezi amini, hakufanya jambo hata moja, alikuwa akienda club analala hukohuko anarudi asubuhi, alikuwa na michepuko afadhali ile ya suleimani inahesabika. Yaani hata mazingira ya hapa home tumeyarekebisha sisi watoto huku ukubwani.

Siyo kwamba unampangia matumizi laah hasha fedha kama hizo ni vyema nyie kama familia mkanufaika nazo.

If you think you're a good person, go home and love your family, hao ndio watakuuguza uzeeni.
 
Kuna mtu tena mtumishi wa umma alimpeleka baba yake ustawi wa jamii, eti alitumia hela ya kustaafu kula na mchepuko, na wao Kama wanafamilia hawajanufauka, nilishangaa sana!!!!
 
Nilizani utasema kuna mwanamke mchepuko ametega mingo ya kumkwapilia mzee wako pension yake Kwa hiyo unaomba ushauri jinsi ya kumnusuru babio na kuibiwa pension yako kumbe sio?!

Kumbe ni wewe unapigia hesabu hela ya mzee wako?!

Muongoze vizuri bila hila moyoni mwako.
 
Chagua nyumba ya kigamboni maana barabara za kwenda kule zinapendeza sana ukiwa unapita na magari makali kama unayopanga kununua
 
Kuna mtu tena mtumishi wa umma alimpeleka baba yake ustawi wa jamii, eti alitumia hela ya kustaafu kula na mchepuko, na wao Kama wanafamilia hawajanufauka, nilishangaa sana!!!!
Hii ni Sawa.

Na wakiweza kuzuia ni nzuri sana maana mchuma janga hula na wakwao.

Yaani arubuniwe aibiwe pension yake halafu aje kuwa tegemezi kwa watoto kila wakati kuwaomba hela za matumizi?

Hapana wakati angeweza kutumia hela yake kidogo bila kuwa mzigo kwa watoto.
 
Hii dunia unaweza ukadhani umeshaona yote kumbe wap
 
Ndo madhara ya kauli mbiu ya Jf. Where we dare to talk openly...
 
Hivi babu wa miaka 61 na kibinti Cha miaka 25, nani anamrubuni mwenzake?
 
Pesa za babaako wewe unazipangia bajeti? Tafuta kazi upate za kwako usije ukaumia Bure kwa pesa ambayo haikuhusu
Itakuwa wa Kinondoni mvaa vibukta...
anapenda kutanua pesa za wengine na ipo siku watamtanua kwa tama zake,
 
Hahaaa..kweli bhana hongera..ukiona mzee anazingua kukujibu mchape makofi atoe majibu haraka ebo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…