Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

Story za hivi zimekua nyingi sana siku hizi
 
Wewe ndie unaetaka kulelewa na uzee wote huo, hela zake hazikuhusu, na hata zikiisha ana mafao ya kila mwezi, bima yake ya afya anayo, nyumba za kipangisha, hatakutegemea wewe kamwe, pambana na familia yako, acha uchawi
Sasa mbona unajichanganya tena? Ndo napambana na familia yangu sasa. Mzee ni familia yangu.
 
Muuwe tu mzee
 
huyo baba ako akifa hizo mali zinakufa na yy alaf utabaki ww na katundu kako ka marinda sasa kama hujawahi katumia bas itakua mwanzo wa kukatumia watakutindua sana mzee
 
huyo baba ako akifa hizo mali zinakufa na yy alaf utabaki ww na katundu kako ka marinda sasa kama hujawahi katumia bas itakua mwanzo wa kukatumia watakutindua sana mzee
Kwa io unashauri mamende wa humu wasicheze nae mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Akili yako inafanya kaz kweli? Ningekuwa mzee wako ni viboko tu
 
Mwamba ameandika hivi maksudi. Ili aone wajinga ni wangapi watakao mcrash. Na yote mnayo mwambia anayajua. 😁 Na anafahamu fika kua yeye hawezi tegemea vya mzaz wake.
 
Ntachuma dhambi tu hapa kesho kanisani ngoja nikalale niachane na vijana wa hovyo makaka poa
 
Kmmmmk walai HV jf ndio imekuwa hv
 
Ndio maana sitaki kabisa kuzaa mitoto ya kiume, inatabia ya kutuombea kifo irithi mali
 
Nafuu mzee wako angepig masterbtn hizo nanilii zikamwagika kuliko kukuzaa.
 
Mdo Mdogo angu una akili za kichawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…