Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
!
!
Tunaokisubiri Pdfdrive Tufahamiane Tafadhali
!
Tunaokisubiri Pdfdrive Tufahamiane Tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitaanzia ePub!.!
!
Tunaokisubiri Pdfdrive Tufahamiane Tafadhali
Ukinunua nishtue nije nipige copy mkuu.Kikishuka bei mpaka kufikia buku mtanishtua ili nami nikinunue
Nalog off
Anasa hizoHii ni pamoja na uandishi uhariri uchapishaji nk, bei yake ni shilingi ngapi? Ningependa kuwa nacho.
Majambazi hao mpaka leo wapo CCM na hawajawahi kuguswa mfano ni RA na nyoka mwenye makengezaSasa nimeelewa kwanini Rais Magufuli hana huruma na mafisadi, kwa kweli majambazi ndani ya CCM siyo ya kuwachekea.
Najiuliza tu waliwezaje kumtumia gavana Balali na kumtapeli mzee Mkapa kisha kutokomea na mzigo wa EPA.
Pia nimeelewa kwanini mstaafu Kikwete aliyataka yale majambazi ya EPA yarejeshe fedha walizoiba, kumbe walikuwa wanaccm. Kiukweli baada ya kumsikia mzee Mkapa alivyohudhunishwa na utapeli aliofanyiwa na majambazi kwa kisingizio cha kufadhili CCM kwenye kampeni za uchaguzi, Nimesikitika sana.
Leo nimemuelewa vizuri RC Albert Chalamila wa Mbeya aliyependekexa ianzishwe Magufuli Ruling Party kama mbadala wa CCM, kwa kweli ujambazi aina ya EPA hauvumiliki.
Mungu Ibariki CCM " mpya"
Maendeleo hayana vyama!
Huyo mzee Ni lofa [emoji16][emoji468]
Huna haja hata ya kununua we subira kidogo wahuni wakipandishe site ya pdfdrive.comKikishuka bei mpaka kufikia buku mtanishtua ili nami nikinunue
Nalog off
Dah..Sasa ukianza ku RIP wewe ndiyo hutakisoma tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kikiuzwa kwenye charity baada ya walionunua ku RIP nitakisoma
Tuko[emoji1787][emoji1787]!
!
Tunaokisubiri Pdfdrive Tufahamiane Tafadhali
Tuko[emoji1787][emoji1787]
Kumwaga damu ya mtu hakumwachi muuaji salama. Yalimkuta Kaini alipomuua ndugu yake Habili akapata adhabu mbalimbali kali ikiwemo kutangatanga na kukosa makao (Mwanzo 3:10-14). Nafsi ya babu yetu mzee Mkapa inatangatanga kwa kukosa amani kutokana na mauaji yaliyotokea kule Zanzibar. Hakika Neno la Mungu ni Kweli, halisemi uongo. Dhambi ya mauaji na uonevu wa makusudi hazitubiki na kusamehewa kirahisi.
[emoji297][emoji4][emoji297][emoji297][emoji4][emoji297][emoji16][emoji297]Tuchangishane bukubuku,tukifika 60 tunavuta kimoja tunagawa kwa wote.
Ngoja tusubiri kitabu kingine watatueleza. Waligangamala hapa kuwa haikuwa na uhusiano na kuingia kwa JK ikulu, sasa dhamira ya BWM inamsuta lakini zigo kamuangushia Balali (ambaye hawezi kujibu). Hapa ingekuwa Israel watu wangekuwa na kesi za kujibu tu na China shaba ingetembea.
Hahahahahahahahaha njo vile mule mule.
Escrow ilimuingiza Magufuli ikulu