Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Mabeberu watakuwa wamejipendekeza tu, si unajua hatuwapendi ila wakija na kitu mkononi tunavunga.Nimejiskia vibaya sana kujua uandishi wa kitabu hicho ni hisani ya mabeberu Finland kufadhili taasis ya Chuo cha uongozi Tz!?. Kweli mzee Ben ama kama nchi hatuliwezi hili!?
Huyo hapo nyuma ya Lyatonga ni Maalim?
Ahsante sana kwa ushauri,nitakuwa nakitafuta kuleHuna haja hata ya kununua we subira kidogo wahuni wakipandishe site ya pdfdrive.com
Tena ngoja nikakicheki [emoji3]
Usihofu kiongozi nitakushtuaUkinunua nishtue nije nipige copy mkuu.
Anaishi kwa rehema,maisha ya mwanadamu ni miaka 70 to 80 hivo meona doa mauaji ya znz sasa baada ya kutambua maisha ya dunia si chochote si lolote zaidi ya kuukimbiza upepo.Hata mawe akifika saa 10 jioni atatambua yote aliyofanya ni ubatili tupu
Ameongelea kwa kina bwashee!Mkuu vipi mstaafu ameongelea mgodi wa KIWIRA kwenye kitabu chake?
Inasikitisha sana.Majambazi hao mpaka leo wapo CCM na hawajawahi kuguswa mfano ni RA na nyoka mwenye makengeza
Nakumbuka alichukia sana yeye na Mangula kiasi Nzee ya Nsoga alipoingia madarakani na kuwa mwenyekiti wa CCM ali attempt kumfukuza Mzee Mangula katika CCM. Ulikuwa Ni wakati mbaya sana kwa ufisadi. 2015 Nzee ya Nsoga alitaka azivae escrow akakwepa ndo maana akina Sethi na Ruge wapo lupango. Nayesa
Nimejiskia vibaya sana kujua uandishi wa kitabu hicho ni hisani ya mabeberu Finland kufadhili taasis ya Chuo cha uongozi Tz!?. Kweli mzee Ben ama kama nchi hatuliwezi hili!?
English mkuu na bei ni elfu 60 nazani hakikutarajiwa kusomwa na wasakatonge mi ningeshauri kiuzwe hata elfu 20 na watoe version ya kiswahili ili wengi wafaidiKimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili?
Huyo naye si Mzalendo. Sina shaka, kwa kuuenzi Uzalendo, JPM, hata kisoma hicho kitabu kilicho andikwa kwa lugha ya MABEBERU!English mkuu na bei ni elfu 60 nazani hakikutarajiwa kusomwa na wasakatonge mi ningeshauri kiuzwe hata elfu 20 na watoe version ya kiswahili ili wengi wafaidi
English mkuu na bei ni elfu 60 nazani hakikutarajiwa kusomwa na wasakatonge mi ningeshauri kiuzwe hata elfu 20 na watoe version ya kiswahili ili wengi wafaidi
Usishangae Mkuu maana hata baadhi ya matangazo kwenye radio mwisho utasikia ni kwa hisani ya watu wa MarekaniNimejiskia vibaya sana kujua uandishi wa kitabu hicho ni hisani ya mabeberu Finland kufadhili taasis ya Chuo cha uongozi Tz!?. Kweli mzee Ben ama kama nchi hatuliwezi hili!?