Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mkapa mwenyewe amesadiki kuwa maji yanakorogeka kwa huu upuuzi unaofanywa na ccm.Nikiwa kama mwanaccm nakubaliana kabisa na kauli hii ya mwenyekiti mstaafu wa CCM mzee Mkapa..... Kwamba CCM inaamini Tanzania bado iko kwenye mfumo wa chama kimoja.
Ni ukweli mchungu
Maendeleo hayana vyama!