P Phillemon Mikael Platinum Member Joined Nov 5, 2006 Posts 10,557 Reaction score 8,673 Jul 13, 2023 #21 Equitable said: Butiku mzee mkweli na mzalendo. Amepinga mkataba wa DP mmeanza. Mnadhani ana shida na hicho kivoda? Poleni. Bandari zetu hatugawi kwa wajomba mtu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wahuni ni wengi wammshika ziwa ….awe makini nao hawana adabu
Equitable said: Butiku mzee mkweli na mzalendo. Amepinga mkataba wa DP mmeanza. Mnadhani ana shida na hicho kivoda? Poleni. Bandari zetu hatugawi kwa wajomba mtu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wahuni ni wengi wammshika ziwa ….awe makini nao hawana adabu
enjai ya kyasha JF-Expert Member Joined Apr 6, 2017 Posts 3,089 Reaction score 3,634 Jul 13, 2023 #22 Wapewe wa Vietnam wanajiita DP continent.
D drilling JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 4,761 Reaction score 4,926 Jul 13, 2023 #23 butiku ni mpigaji sana achunguzwe
K konyola JF-Expert Member Joined Dec 13, 2016 Posts 4,191 Reaction score 6,636 Jul 14, 2023 #24 Mimi nasisitiza waliokula pesa za mwarabu watoe walivyo navyo (the eye) kufidia
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Jul 14, 2023 #25 Kwa sababu hasemi yale mnayotaka kusikia ya ndiyoooo [emoji119]
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI JF-Expert Member Joined Oct 29, 2019 Posts 9,863 Reaction score 20,806 Jul 14, 2023 #26 Ngalikihinja said: Kisa kupinga mkataba wa bandari? Mkishapingwa ithuwa mnahaha sana kuwachafua wanaowapinga. Na pengine huwa mnakwenda mbali zaidi kwa kuwatishia vifo..!! Badala ya kujibu hoja kwa hija, mnatumia nguvu kwenye hoja Click to expand... Ukiona MNF imepinga jambo ujue ni deep state imepinga jambo hilo! Ukishupaza shingo your gone for Good!
Ngalikihinja said: Kisa kupinga mkataba wa bandari? Mkishapingwa ithuwa mnahaha sana kuwachafua wanaowapinga. Na pengine huwa mnakwenda mbali zaidi kwa kuwatishia vifo..!! Badala ya kujibu hoja kwa hija, mnatumia nguvu kwenye hoja Click to expand... Ukiona MNF imepinga jambo ujue ni deep state imepinga jambo hilo! Ukishupaza shingo your gone for Good!