Mzee Butiku aigeuza Mwalimu Nyerere Foundation kutoka kuwa taasisi kubwa ya kimataifa mpaka level ya kikao Cha ukoo wa Nyerere. Ikabidhiwe UDSM

Mimi nasisitiza waliokula pesa za mwarabu watoe walivyo navyo (the eye) kufidia
 
Kwa sababu hasemi yale mnayotaka kusikia ya ndiyoooo [emoji119]
 
Kisa kupinga mkataba wa bandari? Mkishapingwa ithuwa mnahaha sana kuwachafua wanaowapinga. Na pengine huwa mnakwenda mbali zaidi kwa kuwatishia vifo..!! Badala ya kujibu hoja kwa hija, mnatumia nguvu kwenye hoja
Ukiona MNF imepinga jambo ujue ni deep state imepinga jambo hilo!

Ukishupaza shingo your gone for Good!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…