Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Hili halisemwi sana ila ndo ukweli wenyewe!
Moja ya sababu zilizofanya Mwl. Nyerere aamue kung' atuka mwaka 1985 ni kutokana na kufeli kwa Sera zake za kiuchumi hasa za kijamaa. Ilifika kipindi watanzania walianza kuvaa nguo zenye viraka na hata ununuzi wa bidhaa madukani ulifanyika kwa foleni. Kuwa na Sukari ilikuwa anasa na watu walifikia hadi kufua nguo zao kwa majani ya mpapai.
Jaribio la Mapinduzi la mwaka 1981 lilimshtua sana Nyerere ambae washauri wake wakuu walikuwa ndugu yake Mzee Butiku.
Ukiniuliza mimi moja ya sababu za umaskini wa Watanzania ni ujinga ulioletwa na Sera za Kijamaa ambazo watu wanaozipigia debe mmoja wapo ni huyu Mzee Butiku.
Kama kwa Sera hizo za Kijamaa nchi yetu ni maskini hivi basi waache wenzao wenye akili mbadala waamue.
Ni muda sasa wa nchi kufanya maamuzi na kujikita kwenye kazi kuliko maneno maneno.
Rais Samia chapa kazi, tumechelewa sana kwa akili za kijinga!
Moja ya sababu zilizofanya Mwl. Nyerere aamue kung' atuka mwaka 1985 ni kutokana na kufeli kwa Sera zake za kiuchumi hasa za kijamaa. Ilifika kipindi watanzania walianza kuvaa nguo zenye viraka na hata ununuzi wa bidhaa madukani ulifanyika kwa foleni. Kuwa na Sukari ilikuwa anasa na watu walifikia hadi kufua nguo zao kwa majani ya mpapai.
Jaribio la Mapinduzi la mwaka 1981 lilimshtua sana Nyerere ambae washauri wake wakuu walikuwa ndugu yake Mzee Butiku.
Ukiniuliza mimi moja ya sababu za umaskini wa Watanzania ni ujinga ulioletwa na Sera za Kijamaa ambazo watu wanaozipigia debe mmoja wapo ni huyu Mzee Butiku.
Kama kwa Sera hizo za Kijamaa nchi yetu ni maskini hivi basi waache wenzao wenye akili mbadala waamue.
Ni muda sasa wa nchi kufanya maamuzi na kujikita kwenye kazi kuliko maneno maneno.
Rais Samia chapa kazi, tumechelewa sana kwa akili za kijinga!