Mzee Butiku ana lipi la kushauri kuhusu Uchumi?

Mzee Butiku ana lipi la kushauri kuhusu Uchumi?

Inasikitisha Sana...yaani mwaka 2023 mtu anamsikiliza Butiku ..,Shivji ..
Ukiuliza unaambiwa hawa wazalendo....as if uzalendo ndo qualifications za kujipa utaalam WA uchumi na uwekezaji.....

Kuwa na uchungu na nchi ni jambo moja na kuwa na majibu ya uchumi ni jambo lingine...
Wote tuna uchungu na wazazi wetu ..
Lakini wakiumwa tunaenda wasikiliza madaktari hospitali...daktari Hana uchungu na mzazi wako ..anaweza kuwa hata amekunywa kidogo lakini ndo "Mtaalam"..wa kusikilizwa
Kwaiyo wewe unajua Siri za nchi kuliko Butiku?Wewe hujazaliwa wenzako wapo Ikulu wanaongoza nchi,kwani hayo Mashirika na Rasilimali mnazo uza au kama mnavyopenda kusema kukodisha na kubinafsisha ni akina nani waliyaanzisha na kuyasimamia!!
Kwani walishindwa wao kuyauza Ili watajirike,mnakuja na visiasa vyenu uchwara,eti utaalamu wa Uchumi, Uchumi aliojenga nani?
Hopeless generation!
 
Wengi wanaopinga uwekezaji wa bandarini wanakuja na hoja za kijamaa na zenye uoga wa mabadiliko.

Utasikia wanasema eti waarabu wanaturudisha tena utumwani, stupid argument.

Mwarabu kawekeza kwenye bandari za Marekani, Uingereza na mataifa mengine, ina maana kote huko anarudisha watu utumwani?.

Ni mawazo ya kijamaa kuogopa kufikiria zaidi ya kile unachokifahamu kichwani mwako. Kuuwekea ubongo mipaka ni hulka za kijamaa tena ule mkongwe.
Amewekeza kwa mkataba wa Kimangungo kama huu?
 
wapumbafu sana
wanashindwa kusimamia bandari kile chuo bandari cha nini pambafu
 
kweli vijana wengi tanzania akili ni kisoda na wavivu wa kusoma, mitandao imewaathiri sana, wengi wanasimuliwa vitu bila hata tafiti hata kidogo, haya mambo yameandikwa kwenye maandishi, haitaji hata kwenda shule sana ili ujue hii, mpaka sasa ujui nchi yao ni mlengo gani wa kijamaa au ya kibepari?, kwani lini nchi iliacha siasa ya ujamaa? kasome katiba ya nchi yako ili ujue nchi yako ina siasa za nchi mlengo gani.

have a respect na nyererre, angetaka kuuza rasilimali za nchi hata bandari wanayauza ndugu zako msingeikuta leo, angetaka kufanya hivyo hata ngorongoro angeshauza, madini angeshauza, mlima kilimanjaro angeshauza, aliwapenda watanzania kama familia na hakupenda kujilimbikizia mali wala hakuwa mlafi wa mdaraka kama viongozi wetu wa leo.. mpe heshima yake anayostahili,

respect mpe wewe laanatullahi nyrere , mtu aliyeleta majeshi zanzibar na kuuwa watu kwa maelfu na kuifanya nchi kuwa mateka wa Tanganyika mpaka leo.
 
haku



watu wanapinga construction ya mkataba, wala sio mwarabu. hata mie napinga na sipingi uwekezaji napinga mkataba basi, sina argument zaidi ya mkataba, sina kabisa arguement zaidi ya mkataba unaolitweza taifa, mkataba, mkataba, mkataba full stop. zingine ni siasa,

hizo argument za waarabu ni strong points za wanaosupport ili kuwafanya weak wanaopinga, kama kweli mkataba ni mzuri, jibu arguemnt zilizowekwa as against wanaopinga mkataba, kwangu mimi ni arguemnt za wanasupport ili kufisha ukweli waaweka kibwagizo cha mwarabu kawekeza marekani, udini, uzanzibar, utanganyika, lakini shida ni nature ya mkataba wetu na hao warabu wako?, wote wanaopinga DPW hawapingi uwekezaji wa DPW, wanapinga mkataba,

mkataba, mkataba, mkataba its an issue, sio dpw
Arguments zimeshajibiwa zaidi ya mra elfu moja mkuu HANGAYA. Tatizo ni watu kuja na tafsiri nyingi potofu za kinachoandikwa.

Kumbuka ukiona kwenye mkataba wametumia neno WILL jua kuwa maana yake haiwezi kuwa sawa na pale walipotumia maneno SHALL au MAY. Maana za hayo maneno kisheria ni pana sana.

Hivyo wanaosema mikataba ni tatizo wameshapewa tafsiri nyingi za kinachoandikwa.
 
Amewekeza kwa mkataba wa Kimangungo kama huu?
Uelewa wetu ni tatizo mkuu butron. Ni hii hii mikataba ya kimangungo inayotumiwa huko kwenye mataifa mengine.

Tusijione babu kubwa sana hapa duniani. Tunaweza kupoteza fursa ambazo wengine wanazitumia.
 
Back
Top Bottom