Mzee Butiku ana lipi la kushauri kuhusu Uchumi?

Kwaiyo wewe unajua Siri za nchi kuliko Butiku?Wewe hujazaliwa wenzako wapo Ikulu wanaongoza nchi,kwani hayo Mashirika na Rasilimali mnazo uza au kama mnavyopenda kusema kukodisha na kubinafsisha ni akina nani waliyaanzisha na kuyasimamia!!
Kwani walishindwa wao kuyauza Ili watajirike,mnakuja na visiasa vyenu uchwara,eti utaalamu wa Uchumi, Uchumi aliojenga nani?
Hopeless generation!
 
Amewekeza kwa mkataba wa Kimangungo kama huu?
 
wapumbafu sana
wanashindwa kusimamia bandari kile chuo bandari cha nini pambafu
 

respect mpe wewe laanatullahi nyrere , mtu aliyeleta majeshi zanzibar na kuuwa watu kwa maelfu na kuifanya nchi kuwa mateka wa Tanganyika mpaka leo.
 
Arguments zimeshajibiwa zaidi ya mra elfu moja mkuu HANGAYA. Tatizo ni watu kuja na tafsiri nyingi potofu za kinachoandikwa.

Kumbuka ukiona kwenye mkataba wametumia neno WILL jua kuwa maana yake haiwezi kuwa sawa na pale walipotumia maneno SHALL au MAY. Maana za hayo maneno kisheria ni pana sana.

Hivyo wanaosema mikataba ni tatizo wameshapewa tafsiri nyingi za kinachoandikwa.
 
Amewekeza kwa mkataba wa Kimangungo kama huu?
Uelewa wetu ni tatizo mkuu butron. Ni hii hii mikataba ya kimangungo inayotumiwa huko kwenye mataifa mengine.

Tusijione babu kubwa sana hapa duniani. Tunaweza kupoteza fursa ambazo wengine wanazitumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…