Jina haliakisi yaliyomoNyonyo hiyo [emoji39][emoji39][emoji39] na kakitovu kwisha habari yangu
Duh miaka 16 dushe inamwagaa maniii ya productionKama ulikuwa hujui tofauti ya mzee carter na binti yake mpendwa first born ni miaka 16,mzee carter ana umri wa miaka 38 na binti ake ana umri wa miaka 22 tu.
maana yake mshua alipata mwana akiwa na umri wa miaka 16......wewe na mimi tuna miaka 25+ hatumiliki hata mimba tusilaumu sana ni mipango ya Mungu one day yes.
Alaf usije kushangaa mkwee akampita baba mkwe miakaKashakuwa mtu mzima Lil wayne soon atakuwa "BABU" maana kwa urembo ule wa mwanae lazima wakulungwa wamshibishe "KIBENDI".
Kibongo bongo sijui inakuwajeHiyo sio inshu kabisa kwa hawa viumbe.
Bilashaka alizaa na mtu mzima kumzidi yeyeKwa nini isimwage mkuu......mabadiliko ya mwili wakati wa kubalehe huwahi au kuchelewa kulingana na mtu.
Hapana mama yake huyu binti ni Toya Johson ana umri wa miaka 37 huku wyne akiwa na umri wa miaka 38 kwa hiyo ni mdogo kwa mwaka mmoja,alipata mtoto akiwa na miaka 15 tu......kumbe hizi mimba za utotoni zimeanzia majuu.Bilashaka alizaa na mtu mzima kumzidi yeye
Kabisa maana kuna watu kama Diddy(51) wanapenda Dogodogo sana!!!Alaf usije kushangaa mkwee akampita baba mkwe miaka
Ila sishangaii maaana mtoto wa kimarekani miaka 15 ukimlinganisha na wa huku kwetu ni wa 20+Hapana mama yake huyu binti ni Toya Johson ana umri wa miaka 37 huku wyne akiwa na umri wa miaka 38 kwa hiyo ni mdogo kwa mwaka mmoja,alipata mtoto akiwa na miaka 15 tu......kumbe hizi mimba za utotoni zimeanzia majuu.
ukiangalia hawa watu walijua kuingiliana mpaka kuzalishana wakiwa watoto sana,labda kwa sababu ya utandawazi na mambo ya ukuaji wa teknolojia ambapo kwa sasa haya ndio yanatokea leo huku kwetu.
Kwaiyo diddy anakula mtoto wa wayne anampa mimba sijui inakuwaje na walivyo hawanaga heshima hawa diddy anamuita baba mkwe wake dogoKabisa maana kuna watu kama Diddy(51) wanapenda Dogodogo sana!!!
Ndiyo maana Tra wamekunyoosha,walijua tu pesa itaishia kwenye umalaya wakaamua kuihamishia kwenye stiegler gorge *****!!Hapo kati patamu sanaaa asikuambie mtu
Hawaja ninyoosha peke yangu.. hata wote walio nyuma yangu wanaumia pia πππ. Mie narudi shambani nikiwa na ahueni.. ila wale walio nyuma yangu hali zao zitakuwa chakavu zaidiNdiyo maana Tra wamekunyoosha,walijua tu pesa itaishia kwenye umalaya wakaamua kuihamishia kwenye stiegler gorge *****!!
Jamani πππππππππhuwezi amini kuna mtu atalaumu serikali tu kweli hili jambo
ππππππππππππππ π π π πππππππππππππππ π π π ππ π π πππππ π π π π π π π π ππππ π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π πMewata ππ
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππMaendeleo hayana chuchu saa 6#
ππππππππππCobweb Milk πππ