Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIYO PICHA NAHISI ATAKUA ALIITOA KWENYE MOVIE YA OPRAH ALIYOICHEZA IRENE UWOYA, RAY KIGOSI NA MAREHEMU KANUMBA.
Kuhani halafu unatafuna kondoo wa bwanaNyonyo hiyo 😋😋😋 na kakitovu kwisha habari yangu
Sasa sisi inatuhusu nini?Katika kusherekea siku ya kuzaliwa mtoto mkubwa wa mzee wyne alipiga mapigo ya kina miss eliot ,eve na queen latifa,mitindo pendwa ya mavazi miaka ya 1990-2005 huko.
View attachment 1649056
Mzee carter anamlea binti yake kwa maadili mema sana kupita kiasi,usiulize maswala ya widi na usela nondo wake wewe elewa ana malezi bora sana kwa wanae, anajumla ya watoto wa tano,
Reginae carter,cameron carter,dwayne carter III na neal carter.
hawalingani sema weezy alizaa mapema sana akiwa na umri wa miaka 16 ndio alimpata huyo binti yake ReginaeSasa mbona Kama analingana na baba ake🙄
Kuhani Noah una machoooo😳😳Nyonyo hiyo 😋😋😋 na kakitovu kwisha habari yangu
sasa hivi kakua ana miaka 22 iyaz old.