Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mwanasiasa mkongwe na mzalendo wa kweliNdio nani huyu mwamba?
R. I. P
Mzee Dr. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya..Hatuko naye tena.
RIP Dr. CHRISANT MZINDAKAYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanasiasa mkongwe na mzalendo wa kweliNdio nani huyu mwamba?
R. I. P
Yanafanya vituko kwenye jengo muhimu la kutunga sheria halafu yanashindwa kudeliverHuyu mzee si ndio alitundika koti kwenye ukuta wa Bunge,huku hamna msumari.
Kila la kheri huko aendako ampe hii mchawi mwenzake Jiwe.
Kiwanda cha SAAFI sasa kirudishwe serikalini...kachangia saana kuifilisi benki ya TIB kupitia kiwanda hiki..apunzishwe anapostahiliWandugu.
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, beans ametwaa .
RIP mzee, mwendo umeumaliza.
RIP.inasemekana aliwahi kusimamisha koti angani,"Mzee wa busara"Mwanasiasa nguli Chrisant Mzindakaya, amefariki dunia leo jioni,pale hospitali ya Taifa ya Mhimbili!
Enzi za uhai wake,amewahi kua mkuu wa mkoa na Mbunge wa Jimbo la Kwela!
Pumzika kwa Amani Mzee wetu,kamusalimie sana mwanao, Violet Mzindakaya!
Mwanasiasa nguli Chrisant Mzindakaya, amefariki dunia leo jioni,pale hospitali ya Taifa ya Mhimbili!
Enzi za uhai wake,amewahi kua mkuu wa mkoa na Mbunge wa Jimbo la Kwela!
Pumzika kwa Amani Mzee wetu,kamusalimie sana mwanao, Violet Mzindakaya!
BoraMwanasiasa nguli Chrisant Mzindakaya, amefariki dunia leo jioni,pale hospitali ya Taifa ya Mhimbili!
Enzi za uhai wake,amewahi kua mkuu wa mkoa na Mbunge wa Jimbo la Kwela!
Pumzika kwa Amani Mzee wetu,kamusalimie sana mwanao, Violet Mzindakaya!
MnajimuHuyu ndo alikuwa anatundika koti lake hewani pale bungeni?
Google wala hutumii MBPicha.
RIP