blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe key wordsGoogle wala hutumii MB
Hatimaye utakutana na rafiki yako JPM , ulimlilia sana alipotangulia.mpumzike kwa amani.
Duuuh, hii habari ilinipita mkuuAh Idd simba alishafariki
Ova
Anaitwa Chrisant Majiyatanga Mzindakaya ambaye amefariki dunia jioni hii kwa ugonjwa wa changamoto ya kupumua akiwa Muhimbili!Wandugu.
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, beans ametwaa .
Ana two extremes...amefanya kazi kubwa sana kuwahimiza watu kufanya shughuli za maendeleo katika maeneo yote aliyokwenda. Morogoro na Kigoma ni mashahidi. Ila NDC na hayo mambo mengine sijui ilikuwajeMmoja wa wezi wakubwa walioifisidi nchi.
Ah alishafariki,ila wote hao wamekula mema ya nchiDuuuh, hii habari ilinipita mkuu
Alikomba feza za mradi wa kilimo cha umwagiliaji kasulu, mradi umekuja kukamilika 2010 badala ya 1980Mmoja wa wezi wakubwa walioifisidi nchi.
Vipi alilipa zile bili 9 alizokopa bot ?Mwanasiasa mkongwe na mzalendo wa kweli
Mzee Dr. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya..Hatuko naye tena.
RIP Dr. CHRISANT MZINDAKAYA