lamalu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 612
- 775
Yap sister V ni mtoto wa huyu mzeePoleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Huyu Mzee mwanae alikuwa ni Violet Mzindakaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap sister V ni mtoto wa huyu mzeePoleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Huyu Mzee mwanae alikuwa ni Violet Mzindakaya?
Marehemu hasemwi vibaya.Mmoja wa wezi wakubwa walioifisidi nchi.
Du. Kama naona vifo vinaanza tena taratibu.. Jana alifariki yule mzee wa kutengeneza meli.Anaitwa Chrisant Majiyatanga Mzindakaya ambaye amefariki dunia jioni hii kwa ugonjwa wa changamoto ya kupumua akiwa Muhimbili!
Mganga wa 'Chatonian' nae Kaenda pia..Amewahi kuwa mbunge kwa miaka mingi wa jimbo la sumbawanga na baadae KWELA
Ohoo🙄🙄🙄Mganga anamfuata Mteja wake wa Chato.
Mzee alikuwa mtata sana, alikomba fedha mpaka BOT enzi ya Marehemu Balali!!! Kikwete atasikitika sana kwani huyu alikuwa mmoja wa watu alikuwa anawatumia sana kwenye ufisadi wao wa kisiasa!! Pia alikuwa fundi sana wa kujikomba kwa Uongozi; alipokufa mwendazake mzee mzima alilia kama mtoto mdogo!!!Mmoja wa wezi wakubwa walioifisidi nchi.
Du. Kama naona vifo vinaanza tena taratibu.. Jana alifariki yule mzee wa kutengeneza meli.
Ana PhD ya uchawi. Akikwambia kesho huamki ni kweli huamki!.hivi huyu marehemu fisadi Dr yake ilikuwa ya nini na aliipatia wapi?
Hii nbc inaonekana ni wazee wangu tu ndo hawajachota hapaPoleni wafiwa,mmoja waliochota minoti ya iliyokuwa NBC.
Alikuwa fisadi au alifichua ufisadi?Mmoja wa wezi wakubwa walioifisidi nchi.
Iddi Simba amefarikiR.I.P Sad indeed. Mzee Idd Simba yupo wapi?
Enzi zake nasikia ilikuwa marufuku mtu mwingine kugombea ubunge jimboni Kwake aliwatisha na ndumba.RIP maji ya Tanga Mzinda Kaya.