TANZIA Mzee Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Afariki dunia

To God we belong and to him we will return
 
Ha ha ha zee chawi sana hili.
 
Crisant Majiyatanga Mzindakaya aliijeruhi vilivyo Serikali ya Mkapa ilipoanza kujihusisha na rushwa mwaka 1996.
Waziri wa Fedha Profesa Mbilinyi, Waziri wa Viwanda Juma Ngasongwa, na manaibu Kilontsi Mpologomyi, walikuwa Mawaziri wa mwanzo kwenye serikali ya awamu ya tatu kutoswa kutokana na kashfa alizoibua bungeni mh Mzindakaya.
Pumzika Mzindakaya, binafsi nitakukumbuka kwa kazi yako hiyo
 
Yale Yale ya dhalimu kuweka mkwara mzito kwa mgombea mwingine kwa kumtisha au hata kujidai atamnunua kisha kuingia mitini.
Enzi zake nasikia ilikuwa marufuku mtu mwingine kugombea ubunge jimboni Kwake aliwatisha na ndumba.
 
Sote ni wapitaji huwa nashangaa mtu anamuua mwenzake hali nae ni mpitaji
 
Aliiba fedha nyingi. Haya majizi yakipungua angalau huenda wanangu wakabadili mfumo huu wa kijambazi uliowapa nafasi ya kuhujumu taifa na kufa na mali zetu.
 
Sabaya na bashite injili hii wao ngumu kuelewa
 
Huyu na Lyatonga walikuwa watu machachari sana kwa CCM pamoja na wao kuwa CCM, kabla ya Lyatonga kufuata njia zake za siasa za upinzani...
 
Mbali ya madhaifu yooote aliyowahi kuwa nayo lakini alikuwa na moja kubwa katika uanasiasa wake!! Hakuwa mbaguzi wa kiitikadi.
 
Faulu ya UBUNGE wake Mwaka 1980 ilikuwa ni RUSHWA Usifiche Maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…