Mzee Cleopa Msuya: CHADEMA ni Wachambuzi wa Mambo kwa Kina

Mzee Cleopa Msuya: CHADEMA ni Wachambuzi wa Mambo kwa Kina

Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Safi sana Mzee wetu Msuya. Mungu akujalie maisha marefu hadi utakaoona unachokiamini kuhudu hoja za Chadema kikizaa matunda na hatimaye Chadema kukamata Dola. Mungu akubariki sana.
 
Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Chawa watapinga

We are smart people
 
Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Najivunia kuwa Mfuasi wa Chama makini
 
Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
 
Na katika ulimwengu wa leo mtu anayeweza kuchambua hoja kwa kina ndiye anayestahili kuongoza kuliko watu waongo.
Ona sasa wanadanganya kuna akiba kubwa ya mafuta, lakini watu wanapambana vituoni kununua utadhani wako stadium kutazama mpira. Fedha ya kigeni tuna akiba ya kuendesha nchi miezi minne, lakini ukienda kwenye mabenki hata $500 hupati. Umeme pia uongo kila siku, Maji majiji hata Mwanza ni shida pamoja na ziwa kuwepo katikati ya jiji nk nk.
CCM imejaa uongo na ulaghai, ikiona mnachukia inawapeleka Kizimkazi mnaimbishwa taarabu na kukatiwa viuno hadi basi!
Mkitoka huko Hoi "kazi iendelee"
Siku zao zinakaribia.
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Una akili timamu?

Magufuli alipeleka kila kitu Chato, je alikuwa CHADEMA ?

Sasa kika kitu kinaenda Unguja, nanilihii ni CHADEMA?

Hebu acha kuifananisha CHADEMA na tamaa binafsi.

Kwanza wakati Cleopa Msuya anapelela kila kitu kwao, Rais alikuwa wapi kumkemea? Je Rais naye alikuwa wa CHADEMA?
CCM ni Chama Cha Majizi na Mafisadi
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Inaonyesha hata historia ya nchi yako huifahamu ila una mihemko ya kiccm tena ile ya hoja za vijiweni. Pole!
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
Kwa hiyo Nyerere wakati anaitelekeza Mara,mawaziri wake wanajenga kwao!!!
 
Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Haogopi maslahi ya uwaziri mkuu kunyofolewa?
 
Hata umu jf watu wengi wa ccm ni wa hovyo hovyo tu, hakuna hata mmoja mwenye hoja ya maana

Vijitu vya ccm humu ndani vinachangia hoja kinjaa njaa sana, unaona kabisa kijamaa kitapeli, kinatapeli viongozi wa chama chake cha ccm

Kwa ujumla ccm haina watu makini, wengi ni matapeli wa nchi
Ninaona unamsema Paskal kwa kuwa unajua saa hizi amelala.
 
Kwa hiyo Nyerere wakati anaitelekeza Mara,mawaziri wake wanajenga kwao!!!
Exactly! Uone watoto wa Nyerere kina Heche hawayaoni haya kila siku analaumu CCM matundu ya choo kumbe rasilimali zote zilienda CHADEMA.
 
Una akili timamu?

Magufuli alipeleka kila kitu Chato, je alikuwa CHADEMA ?

Sasa kika kitu kinaenda Unguja, nanilihii ni CHADEMA?

Hebu acha kuifananisha CHADEMA na tamaa binafsi.

Kwanza wakati Cleopa Msuya anapelela kila kitu kwao, Rais alikuwa wapi kumkemea? Je Rais naye alikuwa wa CHADEMA?
CCM ni Chama Cha Majizi na Mafisadi
Hehehe
 
Msuya ni CHADEMA sema wakati huo hatukuwa na multiparty. Akitumia rasilimali za nchi wa upendeleo maeneo ya kwao akiwa waziri mkuu akiwa waziri wa fedha. Hivyo hivyo na Mtei. Na Mrema naibu Waziri Mkuu. Na Sumaye. Sokoine pekee alikuwa Mzalendo lakini kazungukwa na wakuu wa mashirika ya umma. Waziri Mkuu wote tangu uhuru wametoka huko. Na Waziri wa Fedha, na Elimu. Hakuna cha ajabu wanajitokeza hadharani sasa kuhalamisha madhambi yao ya ukabila huko nyuma
sehemu gan pale mwanga kuna maendeleo ambayo msuya aliyapeleka akiwa waziri mkuu, ndio maana kila mara huwa nasema makuwadi ya ccm kwa warabu dpworld akili hamna, ona sasa mmegeuka vibaraka wa warabu kupigia debe mkataba wa kipumbavu halafu mzee msuya aone mnaakili au ujinga.
 
Waziri mkuu mstaafu ambaye hana tabia ya konakona wala kujikomba popote Cleopa David Msuya kayasema hayo live katika ITV kipindi cha dakika 45 na wote tumeyasikia.

Na kasema wazi kuwa CCM haina uwezo wa kujibu hoja bali kutumia mkono wa Serikali (hii nadhani anamaanisha dola) kupush agenda zao lakini sio uwezo wa kuelezea.

Hii appreciation ya mkongwe huyu inatupa picha gani?

View attachment 2739294
Uzee ni dawa. Ukishazeeka unakuwa mambo mengi unasema kweli. Kuna cku Mama Maria Nyerere walimpandisha jukwaan akawaumbua.
 
Exactly! Uone watoto wa Nyerere kina Heche hawayaoni haya kila siku analaumu CCM matundu ya choo kumbe rasilimali zote zilienda CHADEMA.
kwamba.chadema iliweza kuchukua rasilimali ambazo zinasimamiwa na ccm, ndio maana MZEE MSUYA amewapuuza ccm kwa ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom