Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
lakini uchambuzi wenu huwa unadhirisha uwelewa wa chini sana mlio nao kwa hakikaMbona iko wazi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini uchambuzi wenu huwa unadhirisha uwelewa wa chini sana mlio nao kwa hakikaMbona iko wazi sana!
Nadhan huishi bongo itakua unaish Cambodia!! Nani aliekwambia wanategemea kura za wananchi?Lakini bado CCM wanapewa kura na wananchi...
Wabongo ni viumbe wa kuwaweka makumbusho ya taifa...
Hii imeenda!! Ila ngoja waje uvccm tuone wanasemaje!!Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee CLEOPA DAVID MSUYA akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 amesema CHADEMA ni wazuri na mahiri wa kuchambua mambo kwa kina na lazima tujifunze kwao.
-
Hawa CHADEMA ni wachambuzi wa mambo kwa kina na ni lazima tujifunze kwao, kwamba wao kwanini wanajifunza hivi na bado watu wetu hawawezi kujifunza kiasi hichohicho mpaka tuegemee upande wa pili" - Mzee Msuya
View attachment 2739400