Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiojua mambo ninyie, hamjui kuwa mfano Kilimanjaro tunapata uhuru barabara za lami zipo kwenda hadi vijijini, shule zilijengwa kwa juhudi zao hawakusubiri za kata mpaka wachaga walikuwa na gazeti lao la kichaga kuhamasisha maendeleo nyie Nanjilinji mnacheza ngoma za kuozesha watotoExactly! Uone watoto wa Nyerere kina Heche hawayaoni haya kila siku analaumu CCM matundu ya choo kumbe rasilimali zote zilienda CHADEMA.
Lakini kwa nini imeshindikana kwa mzee Malecela? Yeye akipewa nafasi ni pumba tuu kwenda mbele?Uzee ni dawa. Ukishazeeka unakuwa mambo mengi unasema kweli. Kuna cku Mama Maria Nyerere walimpandisha jukwaan akawaumbua.
Kabisa! Na kwa vile viongozi wao huwa hawakemei njia hizo chafu basi wanabariki kwa vile hawana HOJA hivyo wanatembelea midundo ya UVCCM ya ujinga na upuuzi bila kujua kuwa hapo ndipo aibu yao inapoanzia.Uvccm wanaandaliwa script za kumsakama mzee wetu msuya.
Unaweza kuta yale madai ya kumuua sokoine yakaibuka tena
Hehehee chezea ccm wewe ukiingilia pesa za matumbo yao. Hawaangalii Nyani usoniMzee hana tatizo kama chumv kashaitumia sana kazidi ata ile ya ahadi ya Bible ata WakimLissu poa tu
WatalaaniwaMzee atasitishiwa pensheni.
So this is Pre-emtying mechanism?Vita ni vita mura. Hawa ni watu wazito. Rais Dkt Samia naona wanamuandalia mrithi kwa njia mbadala. Ushauri: Hakuna haja ya kumjibu mzee Msuya.
Hakika. Kule kwingine majanga tu. Flani akiunga mkono CHAWA wote wanaunga mkono. Huwezi amini hata swala la DP world mkuu akisema leo kwamba anaachana na dpw, utawaskia CHAWA wanapongeza na kusema mkuu ni msikivu.Mbona iko wazi sana!
Kupewa kura ukimaanisha wenye dola kusaidia kura kupokonywa au sioLakini bado CCM wanapewa kura na wananchi...
Wabongo ni viumbe wa kuwaweka makumbusho ya taifa...
Huwaga hazitoshi kuwapa ushindi ila zinatoshelezwa na tume kwa sababu ya ubovu wa sheria za uchaguzi za mfumo wa kiccm (chama kimoja).Lakini bado CCM wanapewa kura na wananchi...
Wabongo ni viumbe wa kuwaweka makumbusho ya taifa...
Imagine leo raisi anakwenda kwenye ufunguzi wa mradi wa maji kweli 2023 raisi akafungue maji tena kwa masfara wenye kufuja pesa. Kazi za wakuu wa mikoa wilaya na hata ma meneja wa mahi mkoa hawawezi kuzindua mradi? Yaani tunatukuza mambo ya chini sana kuendelea ni stori ndefu sanaChama cha Mazezeta, Chanzo Cha Matatizo.
Matatizo yote yanayolikabili taifa letu chanzo chake.ni CCM.
Elimu duni, miundombinu duni, afya duni, hamna majinsafi na salama. CCM imegeuka kuwa laana kwa taifa letu
Cc ChoiceVariableCc fauzia Foxy
Yes, vita muraaaaa. Kuna mtu kayakanyaga. Sisi ni chawa tu na tutaendelea kuwa machawaSo this is Pre-emtying mechanism?
InasikitishaImagine leo raisi anakwenda kwenye ufunguzi wa mradi wa maji kweli 2023 raisi akafungue maji tena kwa masfara wenye kufuja pesa. Kazi za wakuu wa mikoa wilaya na hata ma meneja wa mahi mkoa hawawezi kuzindua mradi? Yaani tunatukuza mambo ya chini sana kuendelea ni stori ndefu sana