Mzee Cleopa Msuya: CHADEMA ni Wachambuzi wa Mambo kwa Kina

Lakini bado CCM wanapewa kura na wananchi...

Wabongo ni viumbe wa kuwaweka makumbusho ya taifa...
Nadhan huishi bongo itakua unaish Cambodia!! Nani aliekwambia wanategemea kura za wananchi?
 
Hii imeenda!! Ila ngoja waje uvccm tuone wanasemaje!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…