TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Kama Kuna madanga kama Neema mnipe namba zao au aje inbox (Mimi nahonga kumzidi babu)... Mtoto mkali analiwa na mzee
 
Kijana David Makerebe alikua Ni kabila la Mluli. Waluli Ni watu wa mkoa gani? Au Ni ndugu na wangoni?
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Ndugu yangu huyo hakokosea hata kidogo kumtumia demu wako, ila mchongo uliharibika ulipo ona wewe.
Weka kwenye akiri yako demu wako hana muda mrefu ataliwa maana hiyo hela walikubaliana kabisa. Au unajuaje hajamla wakati wana mawasiliano? Mwambie demu wako hata akiliwa akuambie pia, akili ya kuambiwa changanya na yako!
 
Sio siku hizi,,ni tangu enzi na enzi sisi wazee tunawashika kama kawa kama dawa..huoni hata Daudi licha ya uzee lakini alioa kabinti kabichi kabisa ka kumpa joto na kumnyonya naniliu
 
 
Maisha haya hadi uwe na pesa ndo unanihii,, sasa hivi mzee wa watu marehemu na hawa mabinti wanawatafutia wazee wa watu lawama kabisa sasa ka binti kama hako si ndo kinaweza kukupa mauti kwa mishindo yake tuuu,wakati mwingine ni kujitathimini tu vibinti hivi damu changu vinaongeza presha tu yani....
 
Yaani unaona kabisa umri umeenda unaenda kuchukua toto kama hiyo wakati una presha una kisukari unashushia na viagra unataka nini wewe kama sio kufia gesti.
Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema wa maisha yetu.
Yaani we acha tu.
 
Au siyo??!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…