Hatari sana,yaani bado nawaza,jamaa miaka 80,binti miaka 33,ina maana wakati huyu mzee ana miaka 47 huyu binti ndio anazaliwa,kweli utaacha kupata mshtuko wa moyo...?Umejuaje kama ana mke/mke yuko hai
Tumia akili
Kweli ni maused kwani uongo?
Point ya kuoa bikra ni katika kujipa nafasi kubwa ya ndoa kudumu.
Kila taasisi na kanuni zake. Kwa kuhegedwa gegedwa au kugegeda gegeda hovyo tayari unakosa sifa kuu ya kuingia kwenye ndoa.
Mwanamke akiamua kuishi kwa kutumia uzuri wake na papuchi yake ili apate maisha mazuri wala sio shida...tatizo nipale ambapo mtu anafanya hayo and then hataki kukubaliana na matokea ya matendo yake.
Na hapo ndio umegusa penyewe. Every action has a consequence hilo ndio lakutambua.In this life, you only get what you deserve / serve and not what you want!
Zikanyage chief bila kuchoka, kumbuka tu what goes around must come back around!
Mama mabinti wananyodo, wanatukataaa.... Tunawapata kibishi sanaLipo la kujifunza kwa vijana haiwezekani mdada mzuri namna hiyo kimuonekano kuwa na mahusiano na mzee wa miaka 80 huku vijana mumejaa tele. Teh.
[emoji3][emoji3][emoji3]Kulikuwa na haja gani ya kutaja "binti wa KIPARE" are you guys trying to demoralize their dignity? Kwanini hivyo yani?
Hata wewe mnafiki na muongo linapokuja suala la mitandaon.. Cha msingi hakuna aliyekulazimishaPolisi waongo sana, sio wa kuwaamini hata kidogo linapokuja swala la pesa
Bado wewe!!!!!!!
Hapa kuna tatizo. Nyani haoni kundule, siku zote huchekana ngoko.Sasa ni kwanini umdhalilishe babu wa watu namna hii, kwani nyie hamuendagi lodge na michepuko yenu? Sasa mnaweka hadi picha , duuuh