TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk? .
Posho ya kumpa mrembo?

Vyote ndani ya elfu 35 tu?
Huwezi jua wanajuana vipi na kwny simu alikua na bei gani usikute walikubaliana namna ingine ya malipo mana hapo kilichomleta demu ni pesa tu na si kingine njaa inamaliza sana dada zetu....
 
mtu kifa anajulikana ,daktari anathibitisha tu.
 
Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk? .
Posho ya kumpa mrembo?

Vyote ndani ya elfu 35 tu?
Alishalipa na alikuwa na juisi na maji ya kunywa[emoji28][emoji28]

Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600

Dada chips kavu na mishkaki 3 ya jerojero

Bajeti nzima haikuzidi 50k
 
Alishalipa na alikuwa na juisi na maji ya kunywa[emoji28][emoji28]

Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600

Dada chips kavu na mishkaki 3 ya jerojero

Bajeti nzima haikuzidi 50k
Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600

Dada chips kavu na mishkaki 3 ya jerojero[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hawajasema wamecomfirm kitaalam,ila walivyomuona katoa macho bila kupepesa kwa muda mrefu huku ameanza kuwa wabaridi hata mtoto mdogo anajua tu kama huyo mtu amekufa,daktari atakuja kuthibitisha tu badae
 
Nilikuwa nina mpango wa kuwa single lakini naghairi. Kuna hatari ya kuja kuzeeka nikaanza kukimbizana na mademu nikatia hasara familia na kuharibu historia yangu. Kwa kuzingatia mzee nani yule Waziri wa zamani aliyekufa baada ya kuoa pisi kali, na huyu wa sasa.

Kuna uwezekano mwamko wa ngono unahifadhiwa ila unakuja kuulipia kama ukijinyima usingizi inavyokuwa. Ndo kwanza below 25, mpaka nafikia 40 uko si nitakuwa nimeridhika.
 
hawajasema wamecomfirm kitaalam,ila walivyomuona katoa macho bila kupepesa kwa muda mrefu huku ameanza kuwa wabaridi hata mtoto mdogo anajua tu kama huyo mtu amekufa,daktari atakuja kuthibitisha tu badae
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…