TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Neema Kibaya inawezekana akapata kesi ya kuua bila kukusudia.

Sababu kama ana akili timamu atakuwa alijua kabisa mzee wa miaka 80 hatoweza kumudu mikiki yake, sasa kwa nini amkubalie?
Unforgetable
Vijana wa sasa wamekalia kula supu ya pweza, mihogo mibichi kwa kipisi cha nazi eti kubusti stata! Asilimia kubwa ni kaputi ndiyo sababu mabinti wanakimbilia wazee.
 
Ufunuo 14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
 
Kweli utandawazi umeharibu maadili.......huyu mzee akiwa na miaka 47 huyu binti ndio anazaliwa
 
Pisi kali kinoma... Sema wazee acheni maviagra

Kuna mzee mmoja kaoa mama (35+) hapa kitaa, nimezoeana na huyo mama, siku moja nikamuuliza huyo mama hivi mzee anaweza kweli shoo maana huyo mama anasifika, akasem acha tu Hawa wazee wanatumia madawa sana
 
Mshana Jr. Ondoa picha hizi kwani zinaweza kukutia matatani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…