TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Ukute ni juisi ya 700 na maji ya hill ya 600

Dada chips kavu na mishkaki 3 ya jerojero[emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe umekuja kubandika taarifa hii ili mpate jambo la ku joke and jerk off from.

Udhalilishaji uliopitiliza.

Simon Sirro kwa nini uidhalilishe familia ya Mzee Mabeba namna hii?
 
Hapana mkuu, wewe ndio una akili timamu
HUYU MZEE SIYO MCHOVU MIMI NAMFAHAMU ALIWAHI KUWA DODOMA KAMA AFISA KILIMO NA MIFUGO MKOA WA DODOMA NI MSOMI TU WA KUTOSHA NA ALIKUWA NA MGAHAWA WAKE MJI MPYA MAARUFU SANA KWA KUUZA MAZIWA FRESH NA ALIKUWA NA FAMILIA KUBWA TU MMOJA KATI YA BINTI ZAKE ALISOMA NGANZA TATIZO ALIPATA KAZINI BAADA YA WAZIRI MKUU WAKATI ULE SUMAYE ILITOKEA KUTOKUELEWANA AKAACHA KAZI KAMA SIKOSEI
 
Kwani mbinguni umesikia wataingia wenye suti na migauni ya batiki?
Duh ni mlokole wa kanisa gani? kumbe walokole ndiyo wame advance hivyo yaani mapaja yote hadharani.

Jaribu kufatilia mkuu yawezekana ni yeye maana maisha haya bila kupiga dili za ela haramu huwezi kuendelea hivi hivi tu unafikir mradi wa kuku umemtoa kumbe mwenzako anacheza na age za 80 Ndiyo zina muweka mjini.
 
Ni kweli. Ukisoma vizuri, gemu ilikuwa haijaanza. Walikuwa kwenye maandalizi. Bila shaka babu alibugia Viagra. Sasa umri+Viagra+presha+kisukari=kifo.
mtoto wa 33yrs alipovua tu nguo mbele ya babu inawezekana kama siyo viagra basi babu alipigwa na heart-attack au pressure ya kushuka kwa jinsi mtoto alivyokuwa steki tupu bila makongoro
 
AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE


YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021

MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP

Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)

Taarifa kamili ni

Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)

Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.

Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)

-Mwisho-

Toka Crime Mabwepande

====

David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16, 2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.

“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI

“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI

View attachment 1680143
Huyu mzee siyo mchovu kwanza alikuwa Daktari wa mifugo Mkoa wa Dodoma kwenye miaka ya tisini Waziri mkuu Sumaye wakati ule alifanya mabadiliko katika wizara ya kilimo na mifugo, jambo lililomfanya mzee huyu aache kazi au astaafu kabla ya wakati na alikuwa na familia kubwa tu na binti yake mmoja alisoma Nganza Sekondari Mwanza na hapa Dodoma mgahawa wao ulikuwa mji mpya maarufu kwa kuuza maziwa fresh yasiyokuwa na maji. Pole kwa familia na hasa binti yake Suzy na kaka yake Leonard ndiyo ninaowakumbuka
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
[emoji23][emoji28][emoji38][emoji38]
 
Yaani Mimi nikivaa viatu vya mke wa marehemu vinanibana!!

Analia kufiwa na mume? Analia mumewe kafa akiwa na mwanamke mwingine nyumba ya wageni? Analia kwa kifo Cha aibu kilichomkumba mumewe? Analia anawawazia wanae wanajisikiaje juu ya tukio?

Yaani analia na haelewi hasa nini kinamliza.

Khaa wanaume mengine mtupunguzie jamani. Kuna umri ukifika jaribuni kushindana na hiyo mnayosema "necha"
Ningekuwa yeye mke nisingetoa hata chozi moja. Hata angekuwa baba yangu nisingetoa hata chozi moja. Tena tungemzika kawaida mno. Akitoka mortuary ni moja kwa moja makaburini au safari mkoani Kwanza kama ni mkristo misa hatosomewa wala ibada ya mzee wa kanisa au katekista. Ni aibu kubwa mno.
 
Huyo binti sio 33 yrs, ni below 25 yrs kwa kumuangalia tu.
ila kama ni yeye kweli
 
Ningekuwa yeye mke nisingetoa hata chozi moja. Hata angekuwa baba yangu nisingetoa hata chozi moja. Tena tungemzika kawaida mno. Akitoka mortuary ni moja kwa moja makaburini au safari mkoani Kwanza kama ni mkristo misa hatosomewa wala ibada ya mzee wa kanisa au katekista. Ni aibu kubwa mno.
Kwani kafanya nini?
Tatizo liko kwenu mlio hai!!!
 
At 80 yrs unataka K?

Wanaume heshimuni mlikotoka sawa??
 
Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk?
Posho ya kumpa mrembo?

Vyote ndani ya elfu 35 tu?
Kuna mobile transactions siku hizi bro,unakwama wapi??:halaf unawaamini vp polisi kuwa kilichokuwepo ndo hicho walichoswma?? Kma Kuna dola 500 waliificha je??
 
Kuna lizee limoja la kimaasai tupo nae kitaa juzi kati alimwinamisha mdada wa umri huou tupo nae kitaa kimoja pia, mdada akapata 60 yake a kaweka mfokoni, yule dada alikunja roho ili apatemo kodi ya nyumba . maana sio kwa lizee lile jamani [emoji22][emoji22]

. Hawa wazee wa siku hizi hawana dogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji134]
 
Back
Top Bottom