TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

...kwa Busara ya Kawaida tu, Marehemu na Wazi kuwa alikuwa anafahamu kabida kuwa Mrembo alikuwa anampendea Hela take tu.

No wazi kuwa 'Kikao' chao hiki kilikuwa kifanyike baada ya muda mrefu kidogo was 'Kikao' cha Mara ya mwisho kufanyika, kila Mara mrembo akimpa mzee kisingizio cha 'kukosa nafas'!

Haingii akilini kabisa kwamba Marehemu aendeke kwenye Kikao' hiki kilichomuondoa na Shilingi Alfu 40 tu!

Kwamba baada ya Kikao' mzee wetu aipe hiyo pisi sh Alfu 20 ama 30??? Acheni Utani.

Marehemu atakuwa amekwenda hapo na 'Mzigo Mzito'wa kumuachia Mrembo kama kishawishi cha kumfanya apende kuhudhuria vikao kila anapoitwa na asiko nafasi!

Kuna watu wa Kuulizwa vizuri hapo kuhusu Bulungutu LA Marehemu !!! [emoji848][emoji848]
Akili za kawaida tu.....!![emoji853][emoji853][emoji853]
Malipo siku hizi yanaenda kwa simu
Wabeba cash bado wana ushamba maana kwa simu unalipa pesa hata kwa kuhamisha kutoka ac ya bank
Kimbwe mbwe ni pale m_pesa ya marehemu imetuna tuni na hakuna anaefahamu password.
 
1. Tatizo kubwa ni stress ndio zinachangia sana upungufu wa nguvu za kiume!! Kijana wa 20s wengi bado kula kulala hawazi hela ya kodi,hawazi kodi ya meza,hawazi hela ya ada ya watoto,etc yeye muda mwingi ni kutulia kijiweni au sebuleni anaangalia TV kwahiyo mwili wake unakuwa hauna uchovu wala stress!!

2.Magonjwa - Watu wengi wana magonjwa bila wao kujijua matatizo ya pressue ,kisukari ,cholesterol,vidonda vya tumbo,bawasiri,constipation etc Magonjwa hayo yana athiri sana libido/sex drive.

3.Watu wengi hatuna elimu ya mazoezi ya viuongo...Ili Mtalimbo usimamae inahitajika flow nzuri ya damu,sasa kama damu haiflow vizuri obvious mashine lazima itakuwa legelege ,kufanya mazoezi ya kukimbia ,kutembea hukufanya mwili kuwa na flow nzuri ya damu ,pia kuna kergel nayo inasaidia sana kuleta stamina kwa kukuza pc muscles.

4.Mazoea/Kuchokana-Hapa mwanamme/mwanamke anakua haonyeshi ufundi au mashamsham kama awali walipokuwa wanakutana,tabia hii ya kuleta mazoea kwenye uhusiano nayo inachangia hata kupunguza mizuka ya ku do!! Ili mtalimbo usimame unahitaji pia mashamsham kutoka kwa mwenzi ,inahitaji mvuto! Sasa awali m/ke alikuwa figa figali shepu shepu chuchu konzi 6 oclock baada ya muda mwili futu futu kama kiroba au sanamu la michelini au mwili kama betina flat screen aka rula aka namba 1 hapo lazima mzuka uishe.

5.Elimu ya misosi:- wengi hawaelewi uhusiano wa misosi na nguvu za kiume ,kuna misosi inachangia sana katika kuongeza amount ya semen au hormones za kiume ambazo ndio msaada wa kukufanya kuwa mwanamme,kula matunda(tikiti) na mbegu(maboga),maji kwa wingi nayo yanamsaada katika sector hiyo.
Nadhani uongeze sauti ...umechambua kiundani

Extrovert mla kiepe njoo uone mambo huku
 
Inasemwa wapi, Tanzania watu wanazikaga tuu bila hata taarifa kuwafikia hao maDR au police. Unakuta mtu kafa asubuhi kazikwa jioni hila hata kujua labda alikuwa kazimia tuu
Kweli kabisa Mkuu. Kila Mara ninaukbuka mkasa ulionitokea Magomeni Mapipa kama miaka 21 moja hivi kwenye nyumba za kupanga.
Tulikuwa tunapanga nyumba moja na mshikaji ambaye biashara take kuu ilikuwa in kutoka asubuhi kwenda ferry kununua samaki, anawakaanga na na Siku nzima anawauza pembeni kidogo ya nyumba tuliyokuwa tukipanga.

Kuna jioni moja nikirejea kutoka kwenye ajira yangu nikamkuta akindelea na biashara yake na katika kujuliana akaniambia kichwa kinamsumbua.

Cha ajabu asubuhi tukakutana naye nje na katika kumuuliza anaendeleaje, akanijibu kichwa kilikuwa kimeacha kuuma na alikuwa anajiandaa kwenda ferry.

Tukaagana na kutakianda Nazi njema na Siku njema.
Nilikuwa na utamaduni was kutoka magomeni na kutembea had I Extelcoms nilikokuwa nikifanya kazi, nikitumia wastani was dakika 45 tu.

Kuingia tu wakati ninasaini kitabu cha mahudhuria nikaambia kuna simu yangu kutoka home na aliyeniambia akaniuliza pia kuna mini mbona anasikia kama watu wanalia!
Nakiri kuwa niliichukua simu ile huku nikitetemeka mikono.
Nikakutana na Mama watoto na kunijulisha kuwa mpangaji mwenzetu X ameanguka kibarazani na amefariki!! Yule yule tuliyesalimiana naye kwa furaha dakika zisizozidi 50 zilizopita!
In miongoni mwa Sikh nilizopata kushituka mno!

Niliishia tu kumuuliza wife kama amekufa ama amezirai tu.
Wife akanijulisha kuwa Mzee x jirani yetu aliitwa na akaminya shingoni na kifuani na moyo alikuwa haudundi.

SAA Tisa tu Sikh hiyo hiyo jamaa akawa amefukiwa pale makaburi ya mwinyimkuu.
Nikabaki kumuuliza sana kama labda mshikaji yule alikuwa amezirai tu halafu anashotuka na kukuta udongo unamuelemea na hawezi kufanya chochote mile, zaidi ya kujifia tu tena!![emoji848]
 
Maisha haya hadi uwe na pesa ndo unanihii,, sasa hivi mzee wa watu marehemu na hawa mabinti wanawatafutia wazee wa watu lawama kabisa sasa ka binti kama hako si ndo kinaweza kukupa mauti kwa mishindo yake tuuu,wakati mwingine ni kujitathimini tu vibinti hivi damu changu vinaongeza presha tu yani....
Mrembo Akitoka huko aliko atakuwa ametia akili.

Ninahisi kuwa Siki ya kwanza ya kurudia game, atafanya na ki Ben ten cha sekondari kama sio cha shule ya Msingi!
Ninahisi kuwa atakuwa ameathirika sana kisaikolojia na atakuwa anahisi yupo kwenye ndoto ya jinamizi ambao ataamka punde!
Anahitaji sana Ushauri Nasaha Ili asije akaehuka. Bado tunamhitaji aendelee kuipamba dunia yetu hii [emoji120]
 
Maisha haya hadi uwe na pesa ndo unanihii,, sasa hivi mzee wa watu marehemu na hawa mabinti wanawatafutia wazee wa watu lawama kabisa sasa ka binti kama hako si ndo kinaweza kukupa mauti kwa mishindo yake tuuu,wakati mwingine ni kujitathimini tu vibinti hivi damu changu vinaongeza presha tu yani....
Mrembo Akitoka huko aliko atakuwa ametia akili.

Ninahisi kuwa Siki ya kwanza ya kurudia game, atafanya na ki Ben ten cha sekondari kama sio cha shule ya Msingi!
Ninahisi kuwa atakuwa ameathirika sana kisaikolojia na atakuwa anahisi yupo kwenye ndoto ya jinamizi ambao ataamka punde!
Anahitaji sana Ushauri Nasaha Ili asije akaehuka. Bado tunamhitaji aendelee kuipamba dunia yetu hii [emoji120]
 
Kwa huyu binti, mzee ni noma
Apigiwe mizinga 21 anapozikwa
 
1. Tatizo kubwa ni stress ndio zinachangia sana upungufu wa nguvu za kiume!! Kijana wa 20s wengi bado kula kulala hawazi hela ya kodi,hawazi kodi ya meza,hawazi hela ya ada ya watoto,etc yeye muda mwingi ni kutulia kijiweni au sebuleni anaangalia TV kwahiyo mwili wake unakuwa hauna uchovu wala stress!!

2.Magonjwa - Watu wengi wana magonjwa bila wao kujijua matatizo ya pressue ,kisukari ,cholesterol,vidonda vya tumbo,bawasiri,constipation etc Magonjwa hayo yana athiri sana libido/sex drive.

3.Watu wengi hatuna elimu ya mazoezi ya viuongo...Ili Mtalimbo usimamae inahitajika flow nzuri ya damu,sasa kama damu haiflow vizuri obvious mashine lazima itakuwa legelege ,kufanya mazoezi ya kukimbia ,kutembea hukufanya mwili kuwa na flow nzuri ya damu ,pia kuna kergel nayo inasaidia sana kuleta stamina kwa kukuza pc muscles.

4.Mazoea/Kuchokana-Hapa mwanamme/mwanamke anakua haonyeshi ufundi au mashamsham kama awali walipokuwa wanakutana,tabia hii ya kuleta mazoea kwenye uhusiano nayo inachangia hata kupunguza mizuka ya ku do!! Ili mtalimbo usimame unahitaji pia mashamsham kutoka kwa mwenzi ,inahitaji mvuto! Sasa awali m/ke alikuwa figa figali shepu shepu chuchu konzi 6 oclock baada ya muda mwili futu futu kama kiroba au sanamu la michelini au mwili kama betina flat screen aka rula aka namba 1 hapo lazima mzuka uishe.

5.Elimu ya misosi:- wengi hawaelewi uhusiano wa misosi na nguvu za kiume ,kuna misosi inachangia sana katika kuongeza amount ya semen au hormones za kiume ambazo ndio msaada wa kukufanya kuwa mwanamme,kula matunda(tikiti) na mbegu(maboga),maji kwa wingi nayo yanamsaada katika sector hiyo.
Hapo baba namba moja na namba nne ndio zenyewe
 
Mtoto kama huyu unamwachaje?
AKUTWA%20AMEFARIKI%20DUNIA%20AKIWA%20HOTELINI%20%20-%20Mzee%20David%20Makerege%20(80)%20Mkazi...jpeg
 
Then chief you know nothing about sexual argues of women from ages 35 to their late 60s!

Most women tend to ignore that need only because the society expects them to plus all the family and social responsibilities!

Kadri mwanamke anavyoongezeka umri na majukumu yanaongezeka hasa ya kijamii kwahiyo muda wa kujipa kipaumbele like the opposite sex is almost impossible!
Ok, mom you know much of course! and thats why I objectively said "sensible" sex which of course could clear the age limit. Even a mom of hudred years can sex,but is that a " sensible" sex?
 
wanawake na MAJASIRI SANA.......na sisi ambao ni wazee watarajiwa...tuwe makini.....kufia nyumba ya wageni na kabinti ni fedheha sana....jenga kanyumba kako ka FARAGHA..........huko yataisha kimya kimya.......apumzike kwa amani...ila ameidhalilisha familia......ila ile KISU....hakika huchomoi......tutafute pesa WANAUMEE....
 
...kwa Busara ya Kawaida tu, Marehemu na Wazi kuwa alikuwa anafahamu kabida kuwa Mrembo alikuwa anampendea Hela take tu.

No wazi kuwa 'Kikao' chao hiki kilikuwa kifanyike baada ya muda mrefu kidogo was 'Kikao' cha Mara ya mwisho kufanyika, kila Mara mrembo akimpa mzee kisingizio cha 'kukosa nafas'!

Haingii akilini kabisa kwamba Marehemu aendeke kwenye Kikao' hiki kilichomuondoa na Shilingi Alfu 40 tu!

Kwamba baada ya Kikao' mzee wetu aipe hiyo pisi sh Alfu 20 ama 30??? Acheni Utani.

Marehemu atakuwa amekwenda hapo na 'Mzigo Mzito'wa kumuachia Mrembo kama kishawishi cha kumfanya apende kuhudhuria vikao kila anapoitwa na asiko nafasi!

Kuna watu wa Kuulizwa vizuri hapo kuhusu Bulungutu LA Marehemu !!! [emoji848][emoji848]
Akili za kawaida tu.....!![emoji853][emoji853][emoji853]
Huyo mrembo ni wazi kuwa malipo yalitangulia,
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Mzee Ndosi wa Kibaha sie huyu Mwaka juzi alilazwa Muhimbili kwa kwa issue za figo?
 
Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.

Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?

As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
ulitaka wasemeje kwa udaku wako
 
Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Hilo Zee haliishi maeneo ya Picha ya ndege kweli?
 
Back
Top Bottom