Hata hivyo CHADEMA ilikuwa MOVEMENT ya vijana, raia wanaoamini katika mbadala wa CCM sio bendera na/au mabwanyenye waliokataliwa katika chaguzi na figusi za MaCCM… Chama lazima kirudi huko.
Hata Rais Magufuli alisema anaogopa kukutana na viongozi wa upinzani kwasababu wamesema wakikutana naye watamnyonga wamtumbukize baharini, kama unaamini ya Sumaye unashindwaje kumuamini Mh. Rais.
Kwenye Siasa Ukikubali Mshindani Ama Hasimu Wako Akupangie Safu Ya Uongozi Basi Ndiyo Mwanzo Wa Kuondoka Katika Siasa Za Ushindani, Kwani Hakuna Mshindani Anayetaka Kushindana Na Mtu Ama Taasisi Thabiti Na Imara.
Kuna vitu vinafikirisha sana hasa kwa sisi watu wazima ambao tunajua haya mambo,watu wanadhani suala la uongozi ni kukurupuka tu na unakuwa kwenye nafasi kwa kuwa tu ulipotoka ulikuwa na cheo,hapana amekosea na ameoneshwa hali halisi ya maisha.Angetulia tu dawa imuingie vizuri.
Kwamba unaweza kutoka CCM mwaka 2015 na kujiunga Chadema, halafu baada ya miaka minne ukatosha kuwa Mwenyekiti wa Chadema iliyoanzishwa mwaka 1992? Mbona ni utani sasa!
Kwasasa interejensia ya chadema ni kubwa sana.
Nimependa na ndio chama kinapaswa kuwa hivyo.
Chama kinatakiwa kijitathimin San pamoja na kua na mamluki wanatakiwa wakirudishe chama kwa watu sio kujifanya chama chao.
Kwasasa CHADEMA wamejifunza makosa waloyafanya kwa Lowassa?
Kwa Hiyo Tunakubaliana Kuwa Chama cha Upinzani Tanzania ni CHADEMA, Angalia Namna Kinavyotafutwa Kushughulikiwa Kutoka Kila Kona, Ushawi Sikia Uchaguzi wa Jahazi Asilia, PPT-Maendeleo, CHAUSTA au Demokrasia Makini? Msajili Ashawahi Japo Kuvitaja?
Hongera Sana Chadema mmefika hatua nzuri keeping moving.
Mr yamoto mtoto wa Mr mkiki.