Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
Aondoke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamuzi wako mzuri sanaBora kuwa malaya wa kanda ya ziwa kuliko kuwa mtumwa wa Mbowe,Wallah.
Alicho tumwa CHADEMA amemaliza au kimemshinda?
Unamaana nzuri tu na inayoeleweka.......alikuwa anazungumzia baada ya kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa taifa,then Mbowe kwa namna nilivyoelewa huo msemo sumu haionjwi kwa ulimi,it means alikuwa anawatisha........then mzee naona anazidi kujidhalilisha tuHuo ni msemo wa KISWAHILI tu,ni kama vile kusema nyani haoni kundule,sio tusi.Tafasiri na upotoshaji.
Huyu Mzee aibu kaitaka mwenyewe, alitakiwa alipo stahafu atulie kama akina Mzee Pinda.Ndo kwa heri tena kisiasa.
Ila kuna tetesi akatimkia act
shombo ya papaBora kuwa malaya wa kanda ya ziwa kuliko kuwa mtumwa wa Mbowe,Wallah.
mimi ni Chadema lakini kuna tatizo kwenye chama lazima viongozi wajitafakari ikiwemo mbowe
Ni vile Zitto kaamua kukaa kimya hizi sarakasi anazijua vizuri mno . Chadema ni mali ya Mtei na Mbowe kama mkwe wa Mtei yuko pale kwa maslahi ya baba mkweupo sahihi
Tupo watu makini kuliko akina polepole jiwe, kabudiRoving Journalist,
HAKUNA ALIYE MAKINI ATAKAYEBAKI CDM.
Ilikuwa ni suala la muda tu; hakuna mtu aliye makini atasalia huko. CDM ni jahazi linalozama. Nahodha hataki kusaidiwa; ameg'ang'ania usukani.
We vipi,Nani kakwambia naishi mjini?,Nani kakwambia Mimi chadema?,Katiba ya chadema ndiyo inasema hiki ulichokiandika?
Mnaoishi mjini kwa kulamba viatu vya Mbowe acheni ujinga.