Mzee Haji Mpili awa balozi wa kuzuia na Kupambana na Rushwa

ccm bhana mara utasikia mzee ana date na zuchu mda c mrefu, ili watutoe kwenye reli ya kudai katiba mpya na Mbowe siyo gaidi
 
WalaRushwa wote wa Rufiji wamewekewa akiba ya kifurushi cha matusi ya mzee Mpili endapo watatiwa nguvuni[emoji3][emoji1787]
 
WalaRushwa wote wa Rufiji wamewekewa akiba ya kifurushi cha matusi ya mzee Mpili endapo watatiwa nguvuni[emoji3][emoji1787]
Huyu mzee anatukana sana na tena matusi ya nguoni sijui vilitumika vigezo gani kumpa huo ubalozi.

Kuna clip moja inasambaa mtandaoni akishusha matusi makali tena ya nguoni leo hii eti ni balozi wa rushwa wilayani kwake.

Tuna shida sana kama Taifa.
 
Hawa viongozi wajinga sana wanatakiwa kupambana na kutokomeza umasikini ulitawala katika wilaya ya rufiji. Kuna umasikini wa kilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…