Mkuu unaonekana wewe ni mweupe kwenye uwekezaji. Hivi unajuwa kuwa project ya LNG ya Lindi value yake ni sawa na Bajeti ya mwaka mzima ya Tanzania?Sasa nani kakwambia Serikali yetu Haina pesa ya kuchangia kwenye mtaji?
Serikali ilikopa kuwekaza kwenye Dhahabu yetu Pana shida Gani hapo?
Wewe huna HOJA,Mkuu unaonekana wewe ni mweupe kwenye uwekezaji. Hivi unajuwa kuwa project ya LNG ya Lindi value yake ni sawa na Bajeti ya mwaka mzima ya Tanzania?
How much can Tanzania set aside to invest here? Na huku tunataka kulipa mishahara, kujenga barabara na kujenga mashule na hospitali
Hii siyo kufungua bar au saloon za nywele mnazo share
View attachment 3033646
Jibu mwenyewe kwa nini Tanzania haikopi cash ya kuanzisha migodi ya madini?Wewe huna HOJA,
Hizo kampuni zinazokuja kuwekeza humu Huwa hawana cash,
Wanasaini mkataba kwanza, Kisha wanatumia mkataba wa mradi kuomba mikopo huko duniani za kuendesha mradi.
Sasa kampuni iweze, Nchi ishindwe na nini?
Tanzania Inatakiwa kudhamini kampuni za wazawa nchini kukopa mikopo huko duniani Kisha wa kuanzisha migodi ya kisasa na kuajiri Watanzania huku Serikali ukimiliki hisa 60% na wazawa wakimiliki hisa 40%Jibu mwenyewe kwa nini Tanzania haikopi cash ya kuanzisha migodi ya madini?