Mmiliki 60%, mbia 40%Chimba basi kama una uwezo na soko unalo, kwa nini usubiri mdau mshirikiane?
Kuna kitu kinaitwa opportunity cost of investment/ loan kama umewahi kusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmiliki 60%, mbia 40%Chimba basi kama una uwezo na soko unalo, kwa nini usubiri mdau mshirikiane?
Kuna kitu kinaitwa opportunity cost of investment/ loan kama umewahi kusikia
Nilichogundua tofauti yako na Mauzinde wewe bado haujakatwa Masikio.Kumbe viongozi wanzake walikuwa wanamshangaa anavyojigamba kana kwamba yeye ndio yeye kauanzisha mradi
Ubaya ulikuwepo tetesi ni kwamba alikuwa anabadilisha uhai wa mwanae na bandari.Kwani Kuna ubaya hata hivyo?
Umeshapanic tayari🙆😂Dhalimu mama yako aliyekuzaa wewe shog.
Ilani ya CCM ya 2015 haikuwa na SGR wala ATCL; hizo zilikuwa ahadi za CHADEMA. Kikwete alimwachiaje Magufyuli SGR bila kuweka kwenye ilani yao? In fact ilisemekana Magufuli aliamua kulivalia njuga swala hilo baada ya Rwanda, Uganda na Kenya kujitenga na kuwekeza kwenye SGR yao waliyoita Northern CorridorMy Take
Uongozi ni kupokezana Vijiti.Kuanzia alipoishia mwenzako na kusahihisha makosa na kusonga mbele Ili 🇹🇿 iwe mshindi.👇👇
View attachment 3032770
Kwasababu Mwamba Jiwe hayupo kumsingizia ni sawa tu. Inawezekana hata Uwanja wa Ndege wa Chato yeye JK ndio aliidhinisha pesa zake kabla hajatoka madarakani! Ahahahahaha!!!Kumbe viongozi wanzake walikuwa wanamshangaa anavyojigamba kana kwamba yeye ndio yeye kauanzisha mradi
Kaichimbe kwa vidole.Mzee huyo aliuza gesi yetu Kwa wageni!!
Wakati terminal 3 yenyewe ilimshinda ikasimama. Magu ndio akaimalizia.Una uhakika? Unajua Sgr ilikuwa mwishoni kuanza ujenzi enzi za JK?
Na amekopa zaidi kuliko wote bila thamani ya pesa kuonekanaNi kweli amezunguka nchi nyingi kuliko JPM..
Unayo elimu yeyote ya uhasibu, uchumi au uwekezaji?Mmiliki 60%, mbia 40%
Naelewa sana,Unayo elimu yeyote ya uhasibu, uchumi au uwekezaji?
Nenda hata Kariakoo kaangalie umiliki wa yale maghorofa. Kati ya mwenye plot na muwekezaji nani ana apartment nyingi
Huyu mzee ni muongo na tapeli snkupokezana vijini au sio?
Vijini vya kutosikia vilio vya wapiga kura
vijini vya ufisadi
vijini vya uminyaji wa demokrasia..
Mkwere mtu wa fix sana.Nachokumbuka Kikwete alimuachia Magufuli bandari ya Bagamoyo, Magufuli alivyousoma akasema huu mkataba hata kichaa hawezi kuutekeleza, miaka 99 unamuachia vipi muwekezaji aokote mapato?!
Hilo la SGR ndio nalisikia kwake leo!.
Je una habari kuwa Botswana Serikali nayo ilichangia mtaji kwenye migodi? Au umeangalia share bila kuangalia equity structureNaelewa sana,
Ukijenga ghorofa au apartment kwenye kiwanja Cha mtu mkawa na ubia,
Mmiliki atapewa kumiliki na kukusanya Kodi Kwa miaka kumi au ishirini Hadi arudishe pesa na faida.
Baada ya mkataba kwisha anaachia jengo Zima na kiwanja vinarudi kwa mmiliki.
Sasa DHAHABU ni tofauti,
Botswana pale mikataba ni Serikali inamiliki hisa 51+ mbia 48,
Na Serikali inachukua mgao wa almasi au DHAHABU Kila wanapozalisha ,inasema stock au kuuza itakavyo!!
Nikukutanishe naye ili umnyonge?Kama kuna mtu anatakiwa kunyongwa ni huyu mzee ni tapeli haswa
Sasa nani kakwambia Serikali yetu Haina pesa ya kuchangia kwenye mtaji?Je una habari kuwa Botswana Serikali nayo ilichangia mtaji kwenye migodi? Au umeangalia share bila kuangalia equity structure
SawaNikukutanishe naye ili umnyonge?