Mzee Jakaya Kikwete: Nilimuacha Magufuli Aendeleze Mradi wa Reli ya SGR

Mzee Jakaya Kikwete: Nilimuacha Magufuli Aendeleze Mradi wa Reli ya SGR

Mbona ishu ya makao makuu kuwa Dodoma ilikuwa tangu Nyerere lkn hao waliofuata walishindwa na akaweza JPM?
Wenzake walikua wanafuata utawala wa sheria,walijua Kuna haki za wafanyakazi ukiwahamisha,hata hivyo mpaka mola anamchukua,miaka mitano madarakani mbona hakukaa hiyo ikulu ya dom?
 
Hujatoa hata Tsh 100/= unapewa 40% ya hisa bado huridhiki? CRAZY

Mwekezaji kafanya exploration miaka 15, kaleta teknolojia ambayo huna, kaingiza mtaji wote yeye mwenyewe, na unataka akupe hisa zaidi ya 50% ndiyo useme gesi ya kwetu?

Ni UKICHAA tu wa Magufuli na ndiyo maana alikufa kwa UPOTOSHAJI wake
Wewe huoni kuwa kuwa na Dhahabu kwenye shamba lako ,ukimwita mdau aje mshirikiane kuchimba aje na vifaa nk nk kumpa 60% huoni ni uwendawazimu?
 
Wenzake walikua wanafuata utawala wa sheria,walijua Kuna haki za wafanyakazi ukiwahamisha,hata hivyo mpaka mola anamchukua,miaka mitano madarakani mbona hakukaa hiyo ikulu ya dom?
Kwan Nyerere alivyotaka kila kitu kiwe Dodoma alishuhudia hayo mabadiliko?
 
Wewe huoni kuwa kuwa na Dhahabu kwenye shamba lako ,ukimwita mdau aje mshirikiane kuchimba aje na vifaa nk nk kumpa 60% huoni ni uwendawazimu?
Chimba basi kama una uwezo na soko unalo, kwa nini usubiri mdau mshirikiane?

Kuna kitu kinaitwa opportunity cost of investment/ loan kama umewahi kusikia
 
Back
Top Bottom