Mbona Mwinyi alisema Kweli tu,Kikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
Kwamba Magu amefanya makubwa Kwa miaka 5 ambayo Yeye na wengine wameshindwa Kwa ten years?
Anyway kule pwani, unafiki imekuwa kama jadi!!