Mzee Jakaya Kikwete: Nilimuacha Magufuli Aendeleze Mradi wa Reli ya SGR

Mzee Jakaya Kikwete: Nilimuacha Magufuli Aendeleze Mradi wa Reli ya SGR

Hahaha for 10 years hakuna hata nguzo iliwekwa, no wonder walimuita msanii …
 
Yaan choice variable inaonekana, ww ni mtu wa majungu majungu ya kipumbavu. Mswahili wa ahead, usiye na kitu kichwani. Yaan unapenda vithread uchwara uchwara.

Marehemu, Magu yupo kaburini three years now.Lakin unatuletea vithread uchwara vya mzee wa msoga aliyekwisha choka akili mpaka hajitambui. Anayependa kujilinganisha na marehemu kila siku. Huyo, mzee hana uwezo wowote wa kufikiri, na anataka attention kwa wa Tanzania. Lakin watu wamemchoka.
huyu ni kipara hana nywele na akili pia
 
Ndio hao walijaribu kukwamisha ujenzi wa BWAWA Ili tanesco waendelee kununua mafuta na gesi ambamo Wana hisa nono!!

IPO siku!!
Kikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
 
Lakini mipango ya Sgr ilishakuwepo Wala Magufuli hakuanzisha,yeye aliweka input ya kubadili modelity
Kwahiyo maneno ni makuu kuliko vitendo ...hata dini yako inasema imani bila matendo ni mfuu tu ...tumia akili acha kutumia kijambio kufikiri kama sa100
 
Huyu msoga gang muongo sana.yeye reli aliiuza Kwa wahindi na ikajifia kabisa.badae wakaanza mazungumzo ya kuboresha hiyo reli ya kati lakini siyo Kwa kiwango Cha kimataifa(sgr)Bali ni ya diesel.hata Hivyo walishindwa hata kuanza maana Rwanda ilimkatalia.anataka tu aonekane kwamba na yeye alichangia klakini ukweli yeye aishindwa kabisa.
 
Back
Top Bottom