Ndio hao walijaribu kukwamisha ujenzi wa BWAWA Ili tanesco waendelee kununua mafuta na gesi ambamo Wana hisa nono!!Huyu jamaa ni mzinguaji sana!
IPO siku!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao walijaribu kukwamisha ujenzi wa BWAWA Ili tanesco waendelee kununua mafuta na gesi ambamo Wana hisa nono!!Huyu jamaa ni mzinguaji sana!
Ni kweli kabisa!Nakumbuka baadhi ya miradi waliyozindua wenzake kwa sherehe, alikuwa anarudia kuzindua tena kwa sherehe nyingine ionekane ni ya kwake
Sio kwamba alikuwa dikteta tu, alikuwa katili pia, lakini kwa wapumbavu tu...Ni kweli alikuwa si wa kawaida, alikuwa dikteta sana.
Ndio nina hakika, Kikwete akili yake yote ilikuwa bandari ya Bagamoyo.Una uhakika? Unajua Sgr ilikuwa mwishoni kuanza ujenzi enzi za JK?
😁😁😁😁Ni kweli alikuwa si wa kawaida, alikuwa dikteta sana.
Kwani Kuna ubaya hata hivyo?Ndio nina hakika, Kikwete akili yake yote ilikuwa bandari ya Bagamoyo.
Mipango hata wewe unaweza kuweka mipango ujenge nyumba inaelea juu ya anga, hakuna mwanadamu anashindwa kuweka mipango... Je? Utekelezaji unaweza?Lakini mipango ya Sgr ilishakuwepo Wala Magufuli hakuanzisha,yeye aliweka input ya kubadili modelity
Katekeleza Kumzidi Samia? Nani ametekeleza zaidi? Nani hamheshimu JPM?Mipango hata wewe unaweza kuweka mipango ujenge nyumba inaelea juu ya anga, hakuna mwanadamu anashindwa kuweka mipango... Je? Utekelezaji unaweza?
Nyie muheshimuni JPM...
My Take
Uongozi ni kupokezana Vijiti.Kuanzia alipoishia mwenzako na kusahihisha makosa na kusonga mbele Ili 🇹🇿 iwe mshindi.👇👇
View: https://youtu.be/46vpJFkkBzQ?si=E1kgsqK1HHjlcn91
Samia kafanya nini?Kumzidi Samia? Nani ametekeleza zaidi? Nani hamheshimu JPM?
Mimi au waliomhoji JK? Kwa nini usiwaambie Wasafi hayo uliyoandika?Yaan choice variable inaonekana, ww ni mtu wa majungu majungu ya kipumbavu. Mswahili wa ahead, usiye na kitu kichwani. Yaan unapenda vithread uchwara uchwara.
Marehemu, Magu yupo kaburini three years now.Lakin unatuletea vithread uchwara vya mzee wa msoga aliyekwisha choka akili mpaka hajitambui. Anayependa kujilinganisha na marehemu kila siku. Huyo, mzee hana uwezo wowote wa kufikiri, na anataka attention kwa wa Tanzania. Lakin watu wamemchoka.
Samia Katekeleza kuwashinda wote,au na hili unabisha?Samia kafanya nini?
Ni kweli amezunguka nchi nyingi kuliko JPM..Katekeleza kuwashinda wote,au na hili unabisha?
Kwa hiyo inafuta ukweli kwamba Samia Katekeleza zaidi kuwashinda wote?Ni kweli amezunguka nchi nyingi kuliko JPM..
Kwenye safari hata Nyerere na harakati za kupigania uhuru hajamfikia chura kiziwi.Kwa hiyo inafuta ukweli kwamba Samia Katekeleza zaidi kuwashinda wote?
Kwamba bila yeye nchi ingedumaa au haya mambo yakuabudu watu ni mtihani sana nowdays kwmba kwenye watu milioni 80 yeye ndo aliweza wakati kuna mda alisema hadharani uraisi mgumu huku akicheza sinema kwenye tv.Itoshe kusema tulimpoteza mtu muhimu sana hizi nyingine ni mbwembwe tu .RIP Magufuli
Acha uwongo wewe,tpdc inamiliki gas ya mtwara 40%,au mna gas gani nyingine iko operational?Mzee huyo aliuza gesi yetu Kwa wageni!!
Nyerere alipigania uhuru gani?Kwenye safari hata Nyerere na harakati za kupigania uhuru hajamfikia chura kiziwi.
Si ulikua form one,kikwete angeendeleza harakati za sgr tungeikamilisha pamoja na Kenya,tulikua tukitambiana na kujitahidi kuwahi ili kutopoteza wateja wa bandari,dar na mombasaNachokumbuka Kikwete alimuachia Magufuli bandari ya Bagamoyo, Magufuli alivyousoma akasema huu mkataba hata kichaa hawezi kuutekeleza, miaka 99 unamuachia vipi muwekezaji aokote mapato?!
Hilo la SGR ndio nalisikia kwake leo!.