Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Ujinga tupu!Mchakato wa sgr ulishaanza na wachina,huyo Mungu wenu akaachana na wachina akakubaliana na waturuki kwa riba kubwa,acheni ujinga,leo tumerudi kwa wachina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga tupu!Mchakato wa sgr ulishaanza na wachina,huyo Mungu wenu akaachana na wachina akakubaliana na waturuki kwa riba kubwa,acheni ujinga,leo tumerudi kwa wachina
Mbona ishu ya makao makuu kuwa Dodoma ilikuwa tangu Nyerere lkn hao waliofuata walishindwa na akaweza JPM?Kikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
Nilikujibu kistaarabu naona unaleta mihemko na uswahili swahili Mungu wetu nani? Acha kufuru wewe uzima usikupe kiburi hivyo unataka uaminishe watu kulikua na Mungu zaidi ya tumjuae?Mchakato wa sgr ulishaanza na wachina,huyo Mungu wenu akaachana na wachina akakubaliana na waturuki kwa riba kubwa,acheni ujinga,leo tumerudi kwa wachina
Umekula maharagwe ya wapi tena mkuu! Unamwongelea Kikwete ambaye nchi nzima ilinuka rushwa na ufisadi!??Si ulikua form one,kikwete angeendeleza harakati za sgr tungeikamilisha pamoja na Kenya,tulikua tukitambiana na kujitahidi kuwahi ili kutopoteza wateja wa bandari,dar na mombasa
My Take
Uongozi ni kupokezana Vijiti.Kuanzia alipoishia mwenzako na kusahihisha makosa na kusonga mbele Ili 🇹🇿 iwe mshindi.👇👇
View: https://youtu.be/46vpJFkkBzQ?si=E1kgsqK1HHjlcn91
Kabisa, dhalimu magu alikuwa analazimisha kiki hadi alikuwa anakuwa kituko. Nakumbuka alikuwa anazindua viwanda vinavyofanya kazi ili kuhadaa wananchi kuwa vimejengwa kipindi cha Tanzania ya viwanda!Nakumbuka baadhi ya miradi waliyozindua wenzake kwa sherehe, alikuwa anarudia kuzindua tena kwa sherehe nyingine ionekane ni ya kwake
Acha uongo. Riba ipi na Waturuki? wakati wao ni wajenzi tu wa SGR na walikuwa wanalipwa cash na TZ baada ya Exim Bank ya China kukataa kutoa mkopo baada ya wachina kunyimwa project hapo mwanzo. Kawadanganye wajinga wenzio huko kijijini kwako.Mchakato wa sgr ulishaanza na wachina,huyo Mungu wenu akaachana na wachina akakubaliana na waturuki kwa riba kubwa,acheni ujinga,leo tumerudi kwa wachina
Dhalimu mama yako aliyekuzaa wewe shog.Kabisa, dhalimu magu alikuwa analazimisha kiki hadi alikuwa anakuwa kituko. Nakumbuka alikuwa anazindua viwanda vinavyofanya kazi ili kuhadaa wananchi kuwa vimejengwa kipindi cha Tanzania ya viwanda!
kwa nini hakuwaleta 2005 he was a failed presidentKikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
lijinga SanaZee la kiki. Zee la kudandia
vp daraja la kigongo busisi kikwete nae alimuachia.? vp stendi ya magufuli..Tabia za watu wasiojiamini na madikteta uchwara
Nyerere ndio alianza si hiyo nguruwe yakoKuanza ni pamoja na mchakato,hufiki tuu na kuanza?
mashoga na masagaji yalikomesha na Jembe jemedari king bulldozer JpmKabisa, dhalimu magu alikuwa analazimisha kiki hadi alikuwa anakuwa kituko. Nakumbuka alikuwa anazindua viwanda vinavyofanya kazi ili kuhadaa wananchi kuwa vimejengwa kipindi cha Tanzania ya viwanda!
Sasa hao Wabraziri wako walifanya huo upembuzi yakinifu? Mbona Bwawa limejengwa kwa kufuata upembuzi yakinifu ulifanywa enzi ya Nyerere!? Kawadanganye wajinga wenzio huko.Kikwete alileta wabrazil kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga Hilo bwawa,acheni kumtukuza Mungu wenu wa chato
Watu muhimu sana Nchi hii wameish
"Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology | JamiiForums" Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology.Sasa hao Wabraziri wako walifanya huo upembuzi yakinifu? Mbona Bwawa limejengwa kwa kufuata upembuzi yakinifu ulifanywa enzi ya Nyerere!? Kawadanganye wajinga wenzio huko.
"Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology | JamiiForums" Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology.kwa nini hakuwaleta 2005 he was a failed president
Uchaguzi ulipelekwa mbele baada ya mgombea mwenza chadema kufarikikwa nini hakuwaleta 2005 he was a failed president
Umeelewa nilichoandika hapo juu?"Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology | JamiiForums" Tanzania to build US$2bn hydropower plant with Brazilian technology.
Sijui 2010 ulikua wapi,bila shaka ulikua msingi la nne
Hujatoa hata Tsh 100/= unapewa 40% ya hisa bado huridhiki? CRAZYNimekuuliza swali, ukimiliki hisa 40% na mwingine akamiliki 60%, nani mmiliki hapo?
Gesi ni Mali yetu?